Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,694
- 1,772
- Thread starter
- #81
hiyo falsafa ikoje? hebu jarib kufafanua....Pole. Kumbe huifahamu falsafa ya mapenzi na saikolojia ya kike!
hiyo falsafa ikoje? hebu jarib kufafanua....Pole. Kumbe huifahamu falsafa ya mapenzi na saikolojia ya kike!
najua kutongoza ni kutongoza, Lakini ukumbuke usemi wa "mwana umleavyo......". Mie umekuja na gia yako ya fweza, tutakwenda kifweza fweza, ooh, sijui kuna gari langu nimeagiza litaingia soon, ooh sijui mie hela kwangu si tatizo, hakuna mtu asiyependa hela hapa duniani, na hata hivyo kwa zama hizi wapo wanaume wengi tuu wanaopiga mizinga
mi huwa nawashangaa sana madada,
nimekupeleka lunch,... Nikakupeleka saluni, nikatafuta chumba ili tubenjue ile amri ya 6, wakati tunaibenjua hiyo amri, unadai eti nikufikishe kunako kilele. Mara baada ya shughuli, unadai eti hela...huwa mnasemaga hivi....., ooh, nifanyie mpango nikanywe supu....ooh, nataka nauli ya taxi nirudi nyumbani.,....halafu hizi kucha nataka nikazibadilishe rangi.... Sasa kama unataka nikugharimie kihivyo, ya nini utake nihangaike vilevile kukufikisha kunako kilele cha kibo? Yaani wewe unapata faida mara mbili.....ungechagua moja kati ya haya...kufika kibo au hela na siyo kupata vyote kwa pamoja. Mbona mnataka kutupunja sisi wanaume?
Kuanzia sasa, ukigharimiwa basi sahau suala la kufikishwa kibo, ukitaka ufikishwe kibo basi na wewe uchangie gharama za maandalizi ya shughuli.......
najua kutongoza ni kutongoza, Lakini ukumbuke usemi wa "mwana umleavyo......". Mie umekuja na gia yako ya fweza, tutakwenda kifweza fweza, ooh, sijui kuna gari langu nimeagiza litaingia soon, ooh sijui mie hela kwangu si tatizo, hakuna mtu asiyependa hela hapa duniani, na hata hivyo kwa zama hizi wapo wanaume wengi tuu wanaopiga mizinga
Mi huwa nawashangaa sana madada,
Nimekupeleka lunch,... nikakupeleka saluni, nikatafuta chumba ili tubenjue ile amri ya 6, wakati tunaibenjua hiyo amri, unadai eti nikufikishe kunako kilele. Mara baada ya shughuli, unadai eti hela...huwa mnasemaga hivi....., ooh, nifanyie mpango nikanywe supu....ooh, nataka nauli ya taxi nirudi nyumbani.,....halafu hizi kucha nataka nikazibadilishe rangi.... Sasa kama unataka nikugharimie kihivyo, ya nini utake nihangaike vilevile kukufikisha kunako kilele cha kibo? Yaani wewe unapata faida mara mbili.....Ungechagua moja kati ya haya...kufika kibo au hela na siyo kupata vyote kwa pamoja. Mbona mnataka kutupunja sisi wanaume?
Kuanzia sasa, ukigharimiwa basi sahau suala la kufikishwa kibo, ukitaka ufikishwe kibo basi na wewe uchangie gharama za maandalizi ya shughuli.......
Haaaa hadi kumfikisha mtu kilele cha mlima unakua bahili
Sijui umejuaje nimeku pm no zangu unitumie vocha nijiunge bundle pia nitakucall pls
yes..ni proffesion..inaitwa gigolo..you can search it.nasikia naenyewe ni kazi kama unasomea degree ya PHD.
sijui papasa mapaja kwa dakika 30,kisha mbusu shingo kwa takribani dakika 15 huku ukimuongelesha maneno ya upole.
then ukiona anahema haraka haraka peleka ulimi taaaratibu sijui kwenye Gsport,zungurusha kwa degree 360,ukiona anaanza kutoa milio fulani blahblah..............
Mkuu mpe tu maana kuvumilia dudu likusugue nusu saa ni witoMi huwa nawashangaa sana madada,
Nimekupeleka lunch,... nikakupeleka saluni, nikatafuta chumba ili tubenjue ile amri ya 6, wakati tunaibenjua hiyo amri, unadai eti nikufikishe kunako kilele. Mara baada ya shughuli, unadai eti hela...huwa mnasemaga hivi....., ooh, nifanyie mpango nikanywe supu....ooh, nataka nauli ya taxi nirudi nyumbani.,....halafu hizi kucha nataka nikazibadilishe rangi.... Sasa kama unataka nikugharimie kihivyo, ya nini utake nihangaike vilevile kukufikisha kunako kilele cha kibo? Yaani wewe unapata faida mara mbili.....Ungechagua moja kati ya haya...kufika kibo au hela na siyo kupata vyote kwa pamoja. Mbona mnataka kutupunja sisi wanaume?
Kuanzia sasa, ukigharimiwa basi sahau suala la kufikishwa kibo, ukitaka ufikishwe kibo basi na wewe uchangie gharama za maandalizi ya shughuli.......