Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,633
- 3,534
Kwa uelewa wangu akili ipo, ila haionekani(invisible) na (haishikiki)untoucherble. Akili inapimwa na inakuwa kadri mtu anavyo kuwa. "IQ" inteligence of quotent, ni kipimo cha ufahamu. Mtoto huwa anazaliwa na IQ 0 kama ilivyo kwa nyani. Kila siku anavyozidi kukua ndo akili yake inavyozidi kukua. Mtu mwenye IQ Kubwa ni 1700. Tafauti ya binadamu na nyani ni kuwa nyani IQ yake inaanzia 0 inaishia 500. Angefanikiwa kufikisha iq 700 angeweza kuongea angalao kama mtoto,angeweza kuita maji mma! Mtu mzima, wengi wanaufahamu wa IQ 1500-1600 wale wenye ufahamu mkubwa wana IQ 1750. Mtu ukifikisha miaka 70 na kuendelea kulingana na mabadiliko ya mwili, IQ yako inaanza kudumaa!
Akili ni nafsi isiyoonekana ambayo huboreshwa kwa vichocheo vingine kama kufikiri au kutafakari na kutenda ili kupata matokeo yanayoweza kuwa mazuri au mabaya. Akili huendana na kufikiri,udadisi,ufahamu,uelewa,umakini na utulivu. Mara nyingi mtu akifikiri vizuri na kutenda yaliyosahihi na matokeo yake kuwa mazuri,mtu huyo atasemwa ana akili.
Mtu asiye mgonjwa,ghafla akatenda kitu cha ajabu kama walivyofanya askari kumpiga na mmoja wao kumwua mwandishi wa habari Daudi Mwangosi na kujutia kitendo chake hicho cha kinyama baadaye, mtu huyo atasemwa hana akili timamu. Akili ni uwezo wa kufikiri na kutenda kwa ufanisi.Lakini bado matokeo ya kufikiri na kutenda yanaweza kuwa chanya au hasi.
Labda umepata mtaani hukoHakuna aliyejibu jibu ambalo nimeniridhisha....
IPO formuler pia ya ku calculate IQ ya mtu!nikiikumbuka nitaitupia