Hiki ni kisa cha kweli kimetokea leo Mjini Dodoma. Endelea kupata uhondo............
Mtu anatoka 'guest' kufanya 'mambo' na mpenzi wake. Bahati nzuri ghafla anamuona dada yake naye anatoka guest na bofriend wake wakiwa wenye furaha baada ya kupeana raha. Ajabu kaka mtu hasira zinampanda na kuanza kumtolea maneno ya vitisho dada yake pamoja na bf wake. Kila mtu aliyesikia mkwara ule alimshangaa yule kaka kwa kukosa kwake busara. Iweje mtu mzima anayejua nini maana, uzuri na umuhimu wa mapenzi kwa mtu mzima kama dada yake, amtolee maneno ya vitisho ili hali naye ametoka kufurahia 'sex' na gf wake!
Hapa naomba niwaulize vidume wenzangu. Hivi ni kwa nini baadhi yetu tunapata 'uchungu' dada zetu wanapobanjuliwa na wanaume wengine wakati sisi wenyewe tunafanya hivyo kwa dada za wenzetu? uchungu huo unatokea wapi? Je ni kweli kwamba wanaojisikia uchungu dada zao wanapotoka na vidume vingine ni kwa sababu hao wakaka hawana ustaarabu wa mapenzi wanapokuwa 6x6 hivyo wanadhani dada zao nao wanakutana na kadhia wanazawafanyia dada za wengine? Hivi ni kitu gani hasa kikupe hasira na uchungu kwa dadako, ili hali yeye ndiye anayefurahia huo uhusiano na mpenzi wake?
Mbona wao huwa hawana kokoro akikukuta na gf wako-tena walivyo na upendo ndo kwanza atakushauri jinsi ya kuboresha mahusiano yenu. Hebu wanaume, jaribuni kuukubali ukweli kwamba raha unayoipata wewe uwapo na gf wako, dada yako naye anahitaji kupata hiyo raha kutoka kwa bf wake. Acheni hasira, kila mtu anapenda raha ya mapenzi. Hebu maindini bizinesi zenu, waacheni dada zetu wale raha na wapenzi wao kama nyinyi mnavyopenda kula raha na dada wa wenzenu.
Badilikeni!
Siyo wote. Mdogo wangu baada ya kumaliza form six na kuanza chuo niligundua kuwa anadate na mtu, nilichofanya nilimuomba anambie kama ana bf. Alisita na kuogopa sana. Nilimwambia intention yangu alikubali na kunipa namba yake.
Nilimpigia jamaa na kumuuliza abt my sister kwanza alisita maana sisy alishamwambia abt me lakini baadaye alikubali.
Nilimuonya kuwa huyo ni dadangu wa pekee na nampenda kuliko. Kama anafikiri ni uwanja wa mazoezi amwache mara moja kwani sitakuja vumilia akimuumiza. Jamaa alishukuru na kunambia ampenda sana.
It was in 2005, mwaka 2009 walifunga ndoa na sasa wana mtoto mmoja na ni marafiki zangu sana. Shemeji yangu ananiheshimu sana.
Nyie watu nyie, haya bana.
mimi mwanangu wa kike nitamlinda tu hata mseme sisi wanaume ni washenzi.
Nikikamata kakijana kanakula mwanagu under 18 na mimi nakakula, shenzi zake!!!
Ukimla mwanangu, na mie nakukula wewe........chezea uone habari yake.
Hapo unatakiwa uwe hivi........Pole sana kaka, hapa tunaongelea wale ambao ni above 18, wenye hisia zote kamili za kike kuhusu mapenzi na wenye maamuzi ya kiutu uzima awe na nani ktk hayo mahusiano yake
"hate the sin, love the sinner"
They are selfish. Na inaonyesha wanachokifanya kwa dada za wenzao ni usanii, thats why wanaumia kwa dada zao.