Akili za wanavyuo bhaana!

Usimtegemee mtu. Sijasema asipambane. Soma uelewe. Nimesema asiweke matumaini ya kuajiriwa na kulipwa millions. Watanzania ukitaka kuwa funga nwandikie. Kazi kweli kweliii.
 
na zile be like... gosh.. you know...
vinguo havieleweki,
smartphone mpya ikiingia anataka,
wasichana kushikashikwa na kila mvulana,
na kuamini maisha yanaanza baada ya kumaliza chuo!
 
na zile be like... gosh.. you know...
vinguo havieleweki,
smartphone mpya ikiingia anataka,
wasichana kushikashikwa na kila mvulana,
na kuamini maisha yanaanza baada ya kumaliza chuo!
Maisha yapo baada ya kumaliza chuo.
 
Asante. Ila nilichofanya ni kuongea hali halisi. Ukweli uliopo ukiwa masomoni usiwaze kuajiriwa na kuwa na maisha bora na mshahara mkubwa. Kwa walio maliza na wako mtaani wanaelewa nasema nini. Jiwekee malengo ya kusoma na kufaulu na plan b ambayo ni ujasiria mali. Nahisi nimejieleza vizuri sanaaa.
 
Vijana wa chuo wapewe elimu ya kujiajiri wasitegemee kbs kuajiriwa mifano tunayo sisi tumemaliza chuo 2008 mpk leo hii Hakuna cha ajira wala nn





Hongereni nyote hapo juu .....haya ndiyo maono tunayotakiwa kuyapasisha kwa kizazi kijacho , huwa naota ndoto nzuri zaidi kwanini elimu na muktadha wa kujitegemea usifundishwe tangu mtoto akiwa chekechea?
 
Kila kitu unafikiria kirahisi rahisi mkuu unajua gharama za kufungua kampuni ya ujenzi , ingekua rahisi hivyo mbona kila engineer graduate angekua na ya kwake.Usilolijua Kama usiku wa Giza mzee
 
Dah life after school noma jaman ukiwa chuo unaona kila k2 easy lkn ukiingia kitaa hali sio shwar kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…