Akili za wanavyuo bhaana!

Hahaha asante kwa kufurahiii...



Vijana qanajidanganya sana hali kiukwel ni mbaya sana acha wa jidanganye! Kuna mtu aliona kama mjinga baada ya kuniona na degree yangu kitaa mwaka 1,2,3,4,5 nikaanza piga ishu zangu akaniona bonge la fala! Hatimaye nae akamaliza nikaanza kumuhesabia 1,2,3,4,5, 6, sahiv akiniona ananikimbia
 
Hahaha... ukiwa nje ni rahisi sana kumwona wa ndani anakosea na kumdharau. Na kusema ingekua mimi ningefanya. ila ingia wewe ufanye utaona ugumuu wake. Nahisi anajifunza jambo sasa. Akufuate umpe ushauri wa kusogeza maisha.
 
Bado watoto, wengi hawajajua nini maana ya kujitegemea. Acha wafikiri hivyo kwa wakati huo ili baadae wakitoka watafahamu hayo unayoyasema. Wakianza kuyafikiria hayo shule haitapanda.
 
Field,,Volunteering it's very simple kupata,,kaz sasa mmmmmmh?insue nyngne jabisa na sio rahis kabisa
Mfano mm hapa nimemaliza chuo August21 2015 nikiwa na matarajio makubwa ya nikitoka tu chuo fasta one week niwe tayar nimeshaanza kaz,,tulivyomaliza tu fasta nikatengebeza cv yangu na kufanya applications nyng tu kila kona pesa nyng sana aisee nauli kop daaa hatar
One week ikapita hola next the next week tukaitwa kwenye iinterview kwenye taasis fulan hv tulikuwa km 25 hv ila post ni 5 tu,,interview was done na nikiisikia tayar wameitwa means nimeachwa
Wiki 3 zikaisha no jobs,
Nikaandika volunteering letter to taasis flan hv ilikuwa j5 ya week3 j3 nikaitwa na nikasain mkataba for 3months,,msos bure na usafir bure nikaona powa sana acha nipate exposure,,hata hvo alie nishaur ni frnd wangu kaajirwa hapo alikuwa km volunteer hata mwez haukuisha akasain mkataba wa job
Kwa niliweka 90% after 1or2 month ntakuwa nacheka na ITM
Kwakwel bahat ya mwenzio usiillalie mlango waz 3months zimepita na mkataba umeisha niko mtaan sasa no jobs
 
Safi sanaaa aseee.
 
Ngoja wakimaliza shule,watazisoma hadi namba za kigiriki.
 
Kuna kagroup kadogo ka wanafunzi wa Afya nadhani atleast wao ndoto zao zinaweza kusogelea ukweli maana wakitoka tu shule ajira lazima

Ila ndoto za kimaisha(ule utajiri tunaouota) ndio inategemea na akili ya mtu ila hawa wana mwanzo mzuri
 
Mtaani kuna fursa kibao za kutengeneza pesa....kinachowafanya wazidi kufulia ni kutuzarau sie tusio soma hata pale tunapowapa idea nzuri tu za kimaisha...hasa kwa haya maisha ya mtaani ambayo hayana formula........mtu yupo radhi hata kukaa home hata miaka kumi akingoja kuajiriwa.....wakati kijijini kwao mashamba yao yamegeuka kuwa mapori....
 
Huyo anaesema tatizo mtaji, hapo si ajabu anaingia JF kwa simu yenye thamani ya laki 2-3, pia ana ipad au laptop yenye thamani ya laki 3-6,bajeti yake ya vocha kwa wiki ni elfu kumi, kuhonga elfu 20-50 kwa wiki sio tatizo kwake.
Tuna safari ndefu sana.
 
Daah nimejifunza jambo kutoka kwny hii post yako, ukiwa chuo unaona kama njia ni nyeupe tu utakapomaliza kumbe huo si uhalisia la uwe na mtu atakae kushika mkono au alie kuwekea kitengo kama wanavyosema,nakumbuka nilivyokua na mipango kibao ya baada ya kumaliza chuo lakini yote imeyeyuka...una apply kazi zaidi ya 20 hupati hata reply 1...daah Tz kazi ipo, all in all hakuna kufa moyo "let's keep fighting", maisha sio ku plan bali kuzitimiza plan zenyewe.
 
Kuna kagroup kadogo ka wanafunzi wa Afya nadhani atleast wao ndoto zao zinaweza kusogelea ukweli maana wakitoka tu shule ajira lazima

Ila ndoto za kimaisha(ule utajiri tunaouota) ndio inategemea na akili ya mtu ila hawa wana mwanzo mzuri
Ni kweli aseee... utajiri ni akili ya ziada.
 
Yes usikate tamaa. Ipo njia ukiangaika utaipata.
 
Kwa kweli Elimu ya sasa ijikite kwenye kuwaelimisha vijana namna ya kujiajiri na kutokuchagua kazi, vijana wengi wasomi wanadharau baadhi ya kazi! wako tayari kuwa ombaomba kwa ndugu jamaa na marafiki kuliko kujiajiri katika fursa ndogo ndogo, mfano ofcn kwangu nilikuwa na msaidizi ambaye ndio kwanza amemaliza chuo 2014, mwanzoni lengo lilikuwa ni kumuajiri lakini baadaye ikaingia fitna na siasa ajira ikadunda, mimi sikumuacha, zikaingia fitna ili aondoke niliakikisha anabaki kwa sababu alikuwa msaada sana lakini pia ninamuadmire sana, Tofauti na wasichana wengine wa rika lake anajituma kwenye biashara, kila biashara anafanya! lakini pia alikuwa kwenye network marketing ambayo ilikuwa inamsaidia na kwenye kazi zangu ofisini alikuwa ananisaidia vizuri, hivyo kila alipotaka ruhusa mradi kazi zinapopungua nilikuwa simnyimi. Kila wakati nilipoona kazi mitandaoni na kwenye magazeti nilimuonyesha,nilimpasia fursa nyingi nyingi, huwezi amini interview zote alizoitwa alifaulu. Ikawa kuchagua kazi tu, akachagua ile ambayo itaendeleza career yake upesi.
WITO: Ukiwa kitaani usichague kazi kila fursa unayoiona changamkia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…