Galacha Maestro
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 1,353
- 2,231
Pole sana usikate tamaa... ukiona shida zimezidi jua neema inakaribia. Kuwa mvumilivu na jishughulushe sanaa.KWELI KABISA, mi MWWNYEWE NIMEMALIZAGA HAPO IFM MUDA SASA, NA MATARAJIO KAMA HAYO HAYO, ILA LEO NIPO MTAANI NA ZUNGUKA TU NA DEGREE YANGU, KAZI HAMNA, INTERVIEW NIMEENDA ZA KUMWAGA, HATA SECOND STAGE HUWA SIFIKI, DAAAAAA
Ndio wapewe elimu ya kujiajiri. Ila kujiajiri nako kunaitaji mtaji.Vijana wa chuo wapewe elimu ya kujiajiri wasitegemee kbs kuajiriwa mifano tunayo sisi tumemaliza chuo 2008 mpk leo hii Hakuna cha ajira wala nn
Asante sana ndugu, mimi mwenyewe sijafa moyo bado nina matumaini siku yangu Mungu aliyonipangia itafika tuPole sana usikate tamaa... ukiona shida zimezidi jua neema inakaribia. Kuwa mvumilivu na jishughulushe sanaa.
Watu sio kwamba hawana fikra za kujiajiri!!! Wanazo saana, TATIZO NI MTAJI WA KUANZA KUJIAJIRI NDUGU. NINGEPATA MTU WA KUNISAIDIA KUPATA MTAJI, MBONA NINGEKUWA NIMESHA JIAJIRIVijana wa chuo wapewe elimu ya kujiajiri wasitegemee kbs kuajiriwa mifano tunayo sisi tumemaliza chuo 2008 mpk leo hii Hakuna cha ajira wala nn
Ukipata nafasi fanya kweliii...Asante sana ndugu, mimi mwenyewe sijafa moyo bado nina matumaini siku yangu Mungu aliyonipangia itafika tu
Ahahahaaaa alaf kibaya zaid huwa tuna expect tukmalza chuo mishahara itaanzia million utazan ofisini ya baba ako..utaskia khaaaaaa kazi mshahara lak.5 sifanyi mm...utoto tu c unajua bongo movie siku hizi wanawaharbu saanaWANAVYUO Bhaaaana!!!
Jana Nilienda Kumtembelea Rafiki Yangu Pale IFM nikajikuta nakuwa na siku ya Furaha hasa nilipozisikia story zile zile za wanachuo kumbe story za WANAVYUO karibu wote ni zile zile
Sijui ukiwa chuo akili Inakuwaje hata!
Yaani Unakuwa Unawaza Kumaliza, Kupata kazi, Kupewa kitengo alafu Uanze Kupiga Pesa hahaha huu muda wa kutafuta kazi hauesabii na wala huna plan nao wakati ndio muda mgumu na mrefu mno hata kuliko kufanya kazi
Chuo bhaaana! Yaani ukiwa unasoma Unaona kama vile wengine wanakosea ni mambulula hawajui wayafanyayo wewe ndio mjanja tena unayaona maisha ni mazuri tu yaani huwazi kufeli interview, kukatwa jina, kuchelewa pannel, kukosa wa kukushika mkono, kupata link yenye ajira lakini kila ukibofya vigezo huna, kufanyiwa figisu na hujuma kwenye last audition, kupoteza kumbukumbu ya tarehe ya interview, kufeli training na kadhalika.
Ukiwa chuo unawaza Kumaliza na kupata kazi kama ni mvulana unawaza kuwa na gari nzuri, kuipimp vizuri, kuifunga music system ya maana kumiliki mtoto mzuri na kuchukua mkopo wa nyumba huku LAPF umepewa mkopo wa kujikimu yaani unayachukulia maisha mepesi kuliko hata idea za BONGO MOVIE
Yaani nimezifurahia sana hizo story zenu za Alinacha tena nilimsikia mmoja akisema; "Flani kamaliza hapa mwaka jana kaenda South kasoma sijui nini kwa miezi mi3 karudi CRDB wamemchukua anakula mkwanja acha mchezo, mimi nikimaliza chuo sitaki hata kukaa nyumbani naanza harakati za kutafuta kazi
Nilipowasikia hivyo nilicheka sana nikajua hata watasema tutajiajiri kwenye kilimo ama kwingineko eti watatafuta kazi hahaha
Hivi Kwenye kutafuta kazi kuna harakati kweli au ni kujidanganya?
Utafanyia wapi harakati kwenye interview au kwenye kutuma CV online?
Kiukweli nilipokuwa nawasikiliza nilikumbuka mengi sana kuhusu chuo natamani niwe naenda CHUO mara kwa mara kusikiliza hizi ndoto zao za mchana alafu niwatafute miaka miwili baada ya kugraduate nione % za matunda za harakati hizo
SIJUI HAWAJAJUA KUNA WENGINE WAMETUMA CV KWENYE MAKAMPUNI MPAKA IMEFIKIA WAKATI TANGAZO LA AJIRA LINAPITA AKILICHEKI HIYO KAMPUNI TEYARI WANA CV YAKE.....
JUMAPILI NJEMA.
Usikate tamaa ukipata nafasi tumia. Pia usiwe na matarajio makubwa sanaa na elimu.
Yaani we acha tu! Nitafanya mambo hadi watu wasiamini huyu ndo yule jamaa tuliyekuwa tunamuona amefuliaUkipata nafasi fanya kweliii...
Ndio maana kujinyonga kuna zidi. Watu wanakua na matumaini makubwa. Baadar wana changanyikiwa na kuishia kujinyonga.Ahahahaaaa alaf kibaya zaid huwa tuna expect tukmalza chuo mishahara itaanzia million utazan ofisini ya baba ako..utaskia khaaaaaa kazi mshahara lak.5 sifanyi mm...utoto tu c unajua bongo movie siku hizi wanawaharbu saana
Sanaaa aseee.. Mungu akutangulie.Yaani we acha tu! Nitafanya mambo hadi watu wasiamini huyu ndo yule jamaa tuliyekuwa tunamuona amefulia
Amina NduguSanaaa aseee.. Mungu akutangulie.
Yes brazaaa.. kua uone.Ni kama ukiwa nyumbani unawategemea wazazi. Ukiomba kitu ukiambiwa subiri, unaona khaa si wanipe tu haiwezekani kuwa hawana, hawataki tu.
Ila ukishaanza kujitegemea ndiyo pale msemo wa kua uyaone unapofanya kazi...
Sawa na chuo/vyuoni. Field utapata kirahisi sana, utaona mambo kumbe rahisi hivi, nikimaliza narudi hapa hapa. Maliza uisome number...
Ni wapi atatokea uyo mtu wakukupa mtaji? utaendelea kusubiri paka lini uyo mtu wa mtaji atokee? apo ndipo tunapochemkaga, ukiwauliza vijana wengi watakuambia tatizo ni mtaji, wengi wanawaza mitaji ya mil 10 nakuendelea sasa nani atakuja kukupa hio mil 10 kwa kipindi hiki? mtaji unaanza kuutengeneza mwenyewe bila kuchagua kazi unachoingiza(kipato) ndio badae utafanya kama mtaji. Hizo kazi sasa sio lazima ziwe za ofisini yoyote ile itakayokuja mbele yako fanya.Watu sio kwamba hawana fikra za kujiajiri!!! Wanazo saana, TATIZO NI MTAJI WA KUANZA KUJIAJIRI NDUGU. NINGEPATA MTU WA KUNISAIDIA KUPATA MTAJI, MBONA NINGEKUWA NIMESHA JIAJIRI
Kweli kabisa ndugu, na ndio kitu ninachokifanya sasa hv. Na Dunduliza kidogo kidogoNi wapi atatokea uyo mtu wakukupa mtaji? utaendelea kusubiri paka lini uyo mtu wa mtaji atokee? apo ndipo tunapochemkaga, ukiwauliza vijana wengi watakuambia tatizo ni mtaji, wengi wanawaza mitaji ya mil 10 nakuendelea sasa nani atakuja kukupa hio mil 10 kwa kipindi hiki? mtaji unaanza kuutengeneza mwenyewe bila kuchagua kazi unachoingiza(kipato) ndio badae utafanya kama mtaji. Hizo kazi sasa sio lazima ziwe za ofisini yoyote ile itakayokuja mbele yako fanya.
Umetoa mawazo mazuri sana. Ila sio wote wanaweza pata hizo tenda. Inategemea na mazingira. Ila ukiwa kwenye mazingira yanayo ruhusu piga kazi. Wasichague kazi.Ni wapi atatokea uyo mtu wakukupa mtaji? utaendelea kusubiri paka lini uyo mtu wa mtaji atokee? apo ndipo tunapochemkaga, ukiwauliza vijana wengi watakuambia tatizo ni mtaji, wengi wanawaza mitaji ya mil 10 nakuendelea sasa nani atakuja kukupa hio mil 10 kwa kipindi hiki? mtaji unaanza kuutengeneza mwenyewe bila kuchagua kazi unachoingiza(kipato) ndio badae utafanya kama mtaji. Hizo kazi sasa sio lazima ziwe za ofisini yoyote ile itakayokuja mbele yako fanya.
WANAVYUO Bhaaaana!!!
Jana Nilienda Kumtembelea Rafiki Yangu Pale IFM nikajikuta nakuwa na siku ya Furaha hasa nilipozisikia story zile zile za wanachuo kumbe story za WANAVYUO karibu wote ni zile zile
Sijui ukiwa chuo akili Inakuwaje hata!
Yaani Unakuwa Unawaza Kumaliza, Kupata kazi, Kupewa kitengo alafu Uanze Kupiga Pesa hahaha huu muda wa kutafuta kazi hauesabii na wala huna plan nao wakati ndio muda mgumu na mrefu mno hata kuliko kufanya kazi
Chuo bhaaana! Yaani ukiwa unasoma Unaona kama vile wengine wanakosea ni mambulula hawajui wayafanyayo wewe ndio mjanja tena unayaona maisha ni mazuri tu yaani huwazi kufeli interview, kukatwa jina, kuchelewa pannel, kukosa wa kukushika mkono, kupata link yenye ajira lakini kila ukibofya vigezo huna, kufanyiwa figisu na hujuma kwenye last audition, kupoteza kumbukumbu ya tarehe ya interview, kufeli training na kadhalika.
Ukiwa chuo unawaza Kumaliza na kupata kazi kama ni mvulana unawaza kuwa na gari nzuri, kuipimp vizuri, kuifunga music system ya maana kumiliki mtoto mzuri na kuchukua mkopo wa nyumba huku LAPF umepewa mkopo wa kujikimu yaani unayachukulia maisha mepesi kuliko hata idea za BONGO MOVIE
Yaani nimezifurahia sana hizo story zenu za Alinacha tena nilimsikia mmoja akisema; "Flani kamaliza hapa mwaka jana kaenda South kasoma sijui nini kwa miezi mi3 karudi CRDB wamemchukua anakula mkwanja acha mchezo, mimi nikimaliza chuo sitaki hata kukaa nyumbani naanza harakati za kutafuta kazi
Nilipowasikia hivyo nilicheka sana nikajua hata watasema tutajiajiri kwenye kilimo ama kwingineko eti watatafuta kazi hahaha
Hivi Kwenye kutafuta kazi kuna harakati kweli au ni kujidanganya?
Utafanyia wapi harakati kwenye interview au kwenye kutuma CV online?
Kiukweli nilipokuwa nawasikiliza nilikumbuka mengi sana kuhusu chuo natamani niwe naenda CHUO mara kwa mara kusikiliza hizi ndoto zao za mchana alafu niwatafute miaka miwili baada ya kugraduate nione % za matunda za harakati hizo
SIJUI HAWAJAJUA KUNA WENGINE WAMETUMA CV KWENYE MAKAMPUNI MPAKA IMEFIKIA WAKATI TANGAZO LA AJIRA LINAPITA AKILICHEKI HIYO KAMPUNI TEYARI WANA CV YAKE.....
JUMAPILI NJEMA.
Usikate tamaa ukipata nafasi tumia. Pia usiwe na matarajio makubwa sanaa na elimu.
Hahaha asante kwa kufurahiii...Nimejikuta nafurahi sana sijui kwann....!