Akili za namna hii nilikuja kuzikuta huku Tanzania tu. Nilisikitika sana na kutokwa na machozi

Hapana dada yangu siyo rahisi mtu amtumie mama yake mzazi tsh 100,000 angalau ungenambia usd. Sasa 100,000 mama iyekuzaa anafanyia nini?ndo maana wengine hawabarikiwi.hiyo si ni pesa ya kununulia chewing gums zile ambazo mi huwa nanunua sugerfree na zenye kuondoa uchovu maana zile packet moja ni tsh 250,000.

Nmejisikia vibaya sana.najua umetania tu sister.hamna mtu anayeweza tuma 100,000 kwa mama yake ni pesa ndogo sana.

Bora laki katuma elfu kumi kwa mama yake

Soma hii
Nimetumia hela vibaya, ndugu zangu wanateseka. Moyo unaniuma
 
Pole kwa kufiwa ndugu
Screenshot_20191003-071748.jpg
 
Kiduku ana ujumbe mzuri kiujumla (bila kujali kama story yake ni kweli ama la, kuna la kujifunza), lakini kutembea na pesa kama hizo kwenye gari ni risk kubwa sana, watu wabaya wakijua ni rahisi kumdhuru mtu.

Kuhusu kusaidia watu bila kutaka malipo, hili ni jambo gumu. Maana mara nyingine mtu unasaidia kwa moyo mkunjufu, halafu anayesaidiwa ndiye anaona kwamba anawajibika kurudisha fadhila kwa namna anayoweza yeye.
binafsi nakutana nao sana wanaomba msaada,nawasaidia halafu wananitafuta ili kunilipa fadhila
Nalog off
 
Back
Top Bottom