Mgeni wa Mungu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 1,233
- 1,287
Lipumba yupo kwenye Kipindi cha Mizani ya wiki tumsikilizeni.
AnasemajeLipumba yupo kwenye Kipindi cha Mizani ya wiki tumsikilizeni.
Yaani kuna mtu anaweza akapoteza muda wake kumsikiliza Li-pumba?
Lipumba yupo kwenye Kipindi cha Mizani ya wiki tumsikilizeni.
Hahahahahaaa. Yaani umempa in advance?Huyu mzee M/Mungu amrehemu
Mwalimu wako hajafikia kiwango Cha Elimu Cha kukalisha Kalio katika Darasa analofundisha Prof Nguli ije kuwa Wewe?Yaani kuna mtu anaweza akapoteza muda wake kumsikiliza Li-pumba?
Lipumba amedhihirisha mswahili siku zote ni mtu wa hovyo sana hata asome vipi!! Lipumba hana tofauti na mtu ambaye hajakanyaga kabisa darasani.Mwalimu wako hajafikia kiwango Cha Elimu Cha kukalisha Kalio katika Darasa analofundisha Prof Nguli ije kuwa Wewe?
Lipumba amedhihirisha mswahili siku zote ni mtu wa hovyo sana hata asome vipi!! Lipumba hana tofauti na mtu ambaye hajakanyaga kabisa darasani.
Huyo atabaki kuwa wa hovyo tuuu... anatia kinyaa sanaMtu wa Hovyo ndio aliwaongoza hao Wajanja wako kubuni 'Ukawa' mnayojitambia Na ndio huyo huyo aliwatoa Bungeni
nafasi imfaayo msaliti ni mti mrefu wenye kamba iliyokaba shingo!!