Akili na ushahidi wa mashahidi ndio Taswira Yetu

Akili na ushahidi wa mashahidi ndio Taswira Yetu

August

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2007
Posts
10,523
Reaction score
6,462
Hivi karibuni kumekuwepo na Kesi ya ,
Sasa katika uendeshaj wa Kesi hii kumekuwepo na mapungufu mengi, kuanzia Offisi ya mwendesha Mashtaka, na ma mashahidi wenyewe, kiasi kwamba Nina jiuliza hizi akili na Mali tunazo zichezea kwenye Kesi hii nikuonyesha ukomo wa akili zetu au , bado tunamatumaini ya maendeleo kutokana hizi akili
 
Hivi karibuni kumekuwepo na Kesi ya ,
Sasa katika uendeshaj wa Kesi hii kumekuwepo na mapungufu mengi, kuanzia Offisi ya mwendesha Mashtaka, na ma mashahidi wenyewe, kiasi kwamba Nina jiuliza hizi akili na Mali tunazo zichezea kwenye Kesi hii nikuonyesha ukomo wa akili zetu au , bado tunamatumaini ya maendeleo kutokana hizi akili
Ipe uzito comment ya Mchana Jr. Hawa watu akili ni zero.
 
Wanaosikitisha zaidi ni wale Wakuu wa ule Mhimili walivyoamua kujitoa ufahamu. Wanaporuhusu ushahidi ule ambao hata kwenye Mabaraza ya usuluhishi yasingekubaliwa. Mtu na elimu yake taaluma yake eti anaketi siku nzima kusikiliza upuuzi ule wa shahidi kweli??

Mihimili katika nchi yetu ipo mitatu. Yote ipo chini ya mshika mwamvuli mmoja. (Ule uliojichimbia chini zaidi). Sasa ufanyaji kazi kwa Mihimili ile miwili ipo kwa mshika muamvuli. Je akili zake ni za namna gani, uwezo wake wa kufikiri kiutendaji ni wa namna gani.

Ukiangalia yanayoendelea Mjengoni na kwenye Mizani ni wazi utapata majibu ya maswali yote uliyouliza. Kuwa akili za Mshika muamvuli ni za namna gani. Tutatoka hapa tulipo kwa kila mpenda haki kuwa tayari kulipa gharama. Vinginevyo tutaendelea kuwapigia saluti watu wenye sifa ya kujua kusoma na kuandika.
 
Hivi CJ ameamua kabisa kwa akili zake timamu kuwadhalilisha majaji wanaosikiliza kesi ya Lissu? Wamemkosea nini jaji mkuu au serikali hadi wabagazwe na kina Katuga?
Niwasihi majaji wale wajitoe tu kwenye kesi hiyo ili kulinda heshima yao.
CJ, waelekeze majaji wako waipige chini hiyo kesi ya Lissu kwani inawaharibia heshima zenu kwa jamii.
 
Hivi CJ ameamua kabisa kwa akili zake timamu kuwadhalilisha majaji wanaosikiliza kesi ya Lissu? Wamemkosea nini jaji mkuu au serikali hadi wabagazwe na kina Katuga?
Niwasihi majaji wale wajitoe tu kwenye kesi hiyo ili kulinda heshima yao.
CJ, waelekeze majaji wako waipige chini hiyo kesi ya Lissu kwani inawaharibia heshima zenu kwa jamii.
Ukitizama kwa makini mienendo yao Mahakamani, ni wazi kina Katuga wameshachoka. Yaelekea lugha kati yao na waandaaji wa ule mchongo wa uongo imeshakuwa gongana.
 
Back
Top Bottom