Akili bandia yavamia viwanja vya sika

Akili bandia yavamia viwanja vya sika

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Timu 30 kutoka mataifa kama Marekani, Brazil, Ujerumani na Ureno zinajiandaa kwa mashindano ya kwanza ya dunia ya roboti, ambapo roboti hao wenye akili bandia (AI) watashiriki kwenye mechi za soka za wachezaji watano kwa upande mmoja bila msaada wa binadamu.

Screenshot 2025-08-05 035655.png

Soma pia: Kufika mwaka 2030 mwanadamu ataweza unganisha akili yake na akili bandia AI

Timu ya Shanhai kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo cha China — ambao walikuwa washindi wa pili kwenye RoboCup mwezi Juni huko Brazil — walionekana wakifanya mazoezi Jumatatu.

Roboti hao wenye sensa za kuona wana uwezo wa kuona mpira, kutembea, na kujirekebisha wanapoanguka — yote kwa kutumia AI.

Ingawa roboti wengi wametengenezwa China, kila timu imeandika mfumo wake wa maamuzi kwa roboti wake.

Chanzo: Global tv
 
Hivi AI Inaweza kutusaidia namna ya kutusua mikeka yetu maana vipigo vimezidi tunamfaidisha kanji😥
 
Wakuu nilizungumza dunia tunayo enda HAMNA atakae KUWA salama na ajira zetu HIZI.



Kwishaaaaaa
 
Hapa kila mmoja atengeneze robot lake aliingize mtaani kuzisaka mbumba tu! Kisha mimi ninakaa kama observer tu! Kutizama yanayojiri.
 
Ila sisi Wanadamu wapumbavu sana. Hivi hayo madude hatuoni kuwa yanaenda kutunana sisi wenyewe e.g ajira?

Hao wanaoyatengeneza basi watimue sisi sote wanaki na hiyo midubwasha yao. Bloody fucken kabisa.
 
Nawasikitia sana kina "mjini msingi kiuno" wanaenda kukosa ajira hivihivi.
 
Back
Top Bottom