mimi ninamshangaa huyu "jini-ass Braini" hataki kuyaona haya, RUTA, ninaunga mkono hoya kwa 1979%. Ni vigumu kutuambia leo dr. Slaa kapata kuta 2.3ml, wakati kipindi cha kuomba UDHAMINI TU wa kugombea Urais alipata wadhamini 1.87ml (hawa ni LAZIMAAAAAAAAAAA wawe wapiga kura wenye shahada) kwa mikoa KUMI TU!!, vipi kuhusu mikoa mingine ambayo hakutembelea, ambazo baadae tulikuja gundua kuwa ni ngome imara za CHADEMA?? hata kama wadhamini hawakujitokeza kupiga kura si zaidi ya 30% ya wadhamini?? in this case -30% ya 1.87ml ni around 0.58ml ambao waliopiga kura ni almost 1.3ml ya WADHAMNI PEKEE?? vipi KUHUSU MIKOA iliyobaki na mikoa mingine ambayo ni ngome ya CHADEMA, kwamba chadema imepata kura 1ml tu (TAFAKARI)?. sitaki kutukana maana naiheshimu hii forum, kwa maendeleo ya hoja , ila ningekuwa mtaani @>:#KK$K#::#PPK<#&$*^&@* ZAO
NAUNGA MKONO HOJA