Akaunti ya Instagram ya Humprey Polepole yafutwa?

Akaunti ya Instagram ya Humprey Polepole yafutwa?

Hadi hapo sasa watu bado wasijue watekaji ni akina nani?

Ni akili nyepesi tu kwamba kibaka alikerwa na maudhui ya mtandaoni jibu ni hapana maudhui yaliwalenga watu fulani ndio wamechukia kwahiyo kwenye hili wamejionyesha wazi wahusika ni akina nani.
 
Uzuri ni kuwa kifo hakina mwenyewe, watu wote watakufa uwe umekosoa serikali au hujakosoa jua utakufa tu. Point yako ingekua na maana kama kuna watu wangekua hawafi

Wapo waliolulisa wakati wa nyerere, walioua na nyerere yupo wapi?
Wapo waliolulisa wakati wa mwinyi, mwinyi na hao waliotumwa kuua aapo wapi?
Wapo waliolulisa wakati wa mkapa, mkapa yupo wapi?
Wapo waliouliwa wakati wa jk, jk nae atakufa tu hawezi kukwepa
Wapo waliolulisa wakati wa magufuli, magu yupo wapi?
Hata sasa wanaoua wakati huu wa Samia, muda utafika Samia nae atakufa hawezi kukwepa kifo

Ukiyajua hayo basi huwezi shangilia watu kuuawa
Umenena vyema Sana mkuu
 
Uzuri ni kuwa kifo hakina mwenyewe, watu wote watakufa uwe umekosoa serikali au hujakosoa jua utakufa tu. Point yako ingekua na maana kama kuna watu wangekua hawafi

Wapo waliolulisa wakati wa nyerere, walioua na nyerere yupo wapi?
Wapo waliolulisa wakati wa mwinyi, mwinyi na hao waliotumwa kuua aapo wapi?
Wapo waliolulisa wakati wa mkapa, mkapa yupo wapi?
Wapo waliouliwa wakati wa jk, jk nae atakufa tu hawezi kukwepa
Wapo waliolulisa wakati wa magufuli, magu yupo wapi?
Hata sasa wanaoua wakati huu wa Samia, muda utafika Samia nae atakufa hawezi kukwepa kifo

Ukiyajua hayo basi huwezi shangilia watu kuuawa
maelezo meengi unamaliza chaji
 
Hadi Facebook page yake nayo ishatembea
 
Akaunti yake haipo tena..................................
 
Back
Top Bottom