Mjusi Sharobalo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2025
- 7,572
- 12,990
Kwanza tujuzane aliyefuta ni nani ndipo tuchukue hatua!
Inasikitisha sana kwa kweli.Akauti ya Instagram aliyokuwa anatumia Humphrey Polepole imefutwa ikiwa ni siku moja baada kusemekana ametekwa na watu wasiojulikana.
View attachment 3484898
Mtutu ukiwa kichwani lazima utoe nywila.Kwanza tujuzane aliyefuta ni nani ndipo tuchukue hatua!
Umenena vyema Sana mkuuUzuri ni kuwa kifo hakina mwenyewe, watu wote watakufa uwe umekosoa serikali au hujakosoa jua utakufa tu. Point yako ingekua na maana kama kuna watu wangekua hawafi
Wapo waliolulisa wakati wa nyerere, walioua na nyerere yupo wapi?
Wapo waliolulisa wakati wa mwinyi, mwinyi na hao waliotumwa kuua aapo wapi?
Wapo waliolulisa wakati wa mkapa, mkapa yupo wapi?
Wapo waliouliwa wakati wa jk, jk nae atakufa tu hawezi kukwepa
Wapo waliolulisa wakati wa magufuli, magu yupo wapi?
Hata sasa wanaoua wakati huu wa Samia, muda utafika Samia nae atakufa hawezi kukwepa kifo
Ukiyajua hayo basi huwezi shangilia watu kuuawa
Aisee! Kama ni hivyo inaonekana bado hawajammaliza hawa washenzi.Mtutu ukiwa kichwani lazima utoe nywila.
maelezo meengi unamaliza chajiUzuri ni kuwa kifo hakina mwenyewe, watu wote watakufa uwe umekosoa serikali au hujakosoa jua utakufa tu. Point yako ingekua na maana kama kuna watu wangekua hawafi
Wapo waliolulisa wakati wa nyerere, walioua na nyerere yupo wapi?
Wapo waliolulisa wakati wa mwinyi, mwinyi na hao waliotumwa kuua aapo wapi?
Wapo waliolulisa wakati wa mkapa, mkapa yupo wapi?
Wapo waliouliwa wakati wa jk, jk nae atakufa tu hawezi kukwepa
Wapo waliolulisa wakati wa magufuli, magu yupo wapi?
Hata sasa wanaoua wakati huu wa Samia, muda utafika Samia nae atakufa hawezi kukwepa kifo
Ukiyajua hayo basi huwezi shangilia watu kuuawa