Account haijafutwa kilichofutwa ni maudhui aliyokua akiweka. Hivi ni vitu tofautiAkauti ya Instagram aliyokuwa anatumia Humphrey Polepole imefutwa ikiwa ni siku moja baada kusemekana ametekwa na watu wasiojulikana.
Usiende mbaliAmekubali kutoa password maskiin
😞😞☹️☹️🙁🙁
Angalia vizuri labda alete linkIpo umeiona wapi Mkuu?
Lassane Kouma weweWrite your reply...safi sana mange nae kesho analiwa huko huko usa
Uzuri ni kuwa kifo hakina mwenyewe, watu wote watakufa uwe umekosoa serikali au hujakosoa jua utakufa tu. Point yako ingekua na maana kama kuna watu wangekua hawafiWrite your reply...safi sana mange nae kesho analiwa huko huko usa
Upo sahihi sana mkuu unasema vyema sana ila watu baadhi inakua ngumu kuelewa sabaabu wamechagua kutokuelewaUzuri ni kuwa kifo hakina mwenyewe, watu wote watakufa uwe umekosoa serikali au hujakosoa jua utakufa tu. Point yako ingekua na maana kama kuna watu wangekua hawafi
Wapo waliolulisa wakati wa nyerere, walioua na nyerere yupo wapi?
Wapo waliolulisa wakati wa mwinyi, mwinyi na hao waliotumwa kuua aapo wapi?
Wapo waliolulisa wakati wa mkapa, mkapa yupo wapi?
Wapo waliouliwa wakati wa jk, jk nae atakufa tu hawezi kukwepa
Wapo waliolulisa wakati wa magufuli, magu yupo wapi?
Hata sasa wanaoua wakati huu wa Samia, muda utafika Samia nae atakufa hawezi kukwepa kifo
Ukiyajua hayo basi huwezi shangilia watu kuuawa
Account imeshafutwa anasema ipo, ingekua ipo ingeonekana ila ingekua 0 posts, kwasasa ipo disabledIpo umeiona wapi Mkuu?
Mkuu nimesearch insta inaleta hivi. Maana kuwa maudhui yamefutwa Ila account ipo, account pia inaweza kufutwa tusubiriIpo umeiona wapi Mkuu?
Yes hata uki search hakuna account ya polepole tena InstagramAccount imeshafutwa anasema ipo, ingekua ipo ingeonekana ila ingekua 0 posts, kwasasa ipo disabled
Sasa hio hapo juu labda mnasearch mkiwa Tanzania emu nendeni inch zingine washa VPNYes hata uki search hakuna account ya polepole tena Instagram
Sijawahi kukuelewa upo kweneye doria mtandaoni?.......