Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,824
- 7,350
Leo usiku kuna jamaa alikamatwa ndani ya soko la Karume mchikichini akiwa na kidumu cha petroli. Baada ya kutishiwa kudundwa alikiri kuwa amepewa tenda ya kulichoma soko kwa ahad ya kulipwa m1 na mmoja ya mfanyabiashara wa humuhumu sokoni.
Kongole tunawapa walinzi wa soko kwa kufanikiwa kumdhibiti jamaa kabla hajaleta madhara.
Hilo suala lipo chini ya polisi na kama kawaida yao wametuahidi kuwa uchunguzi unaendelea.
Kongole tunawapa walinzi wa soko kwa kufanikiwa kumdhibiti jamaa kabla hajaleta madhara.
Hilo suala lipo chini ya polisi na kama kawaida yao wametuahidi kuwa uchunguzi unaendelea.