Ajutia kumfunga mwalimu gerezani, aomba ushauri

Ajutia kumfunga mwalimu gerezani, aomba ushauri

Ila yawezekana na mwalimu alishindwa kuvumilia si unajua tena kabinti kachanga..hahaha ila anaomba kujua kama hukumu ya ubakaji inaweza ikatenguliwa.
sema unaomba kujua kama hukumu ya Ubakaji Inaweza kutenguliwa acha kujiondoa uhusika wa tukio wakati muhusika ni wewe Mwenyewe? Nenda kwa Mwanasheria elezea ukweli wote yeye ataandika Order ya kureview hiyo hukumu baada ya hapo faili lake litaletwa kwa kuangalia mashahidi..

Ila unaoneka upo vizuri kwenye kaavatar kako Ushimen njooo huku kuna kichwa kinaleta uongo
 
Me ni mwalimu wa physics... ila huo ujinga siwezi kuufanya...
Ningekutandika makofi usiku huo huo na kukupeleka kwenu kwa makofi na kama ningemkuta mzazi wako ningemkata pia makofi na shuleni jumatatu ungekula makofi..
E=mc^2

Kuna mambo yanahitaji busara sana, kitendo cha kumrudisha kwao na makofi bado angeweza kusema ulimtaka kimapenzi na kumbaka (ukumbuke sio bikra huyo)...
 
Ukweli ni kwamba hili tatizo la haki za akinamama huku Africa kwasasa ni hatari sana na linaathari kubwa sana kwa akinamama wenyewe..

Malezi mabovu kwa akina dada na jamii kusahau pia science ya uumba wa Mungu aka nature ya maumbile kwa kila jinsia vimekuwa kaa la moto kwa WaAfrica na kugeuka kuwa ukandamizaji wa mwanaume..

Wanaume kwa sasa tunaonewa kwenye mambo mengi sana kwa kigezo cha haki sawa au haki za wanawake..
 
Binti mdogo wa form two anatembea usiku wa manane au anaruhusiwa kabisa kwenda kwenye sherehe mwenyewe bila uangalizi..

Mwalimu anahukumiwa kwa kigezo kilekile cha haki za wanawake bila kubaini binti amemblackmail jamaa tayari mapema na kumfanya aendelee kuwa mtumwa wake wa mahusiano, binti wa form two anaweza kumtamani mwalimu mwenye 25yrs + na kulazimisha mapenzi bado sheria inamtambua kama mtoto kwa kigezo cha umri na sio balehe yake..
 
katika andiko lako umejitahidi kujificha kuwa wewe siyo muhusika lakini ulipofika kwenye paragraph fulani ukajisahau na kuanza kujitaja jinis ulivyoenda mpaka kwa mwali. Umeanza Umalaya ukiwa mdogo sana nenda katubu Ushimen
Tatizo shule,hebu jaribu kuandika simulizi ya mtu,au utungaji shuleni ulikupita kushoto

Mfano Juma akasema "Mimi nitakuja mchana kwenu" hivi hapo umejitaja? Au unasimulia aliyosema Juma?

Rudi chekechea uanze shule
 
Hahahahah...huku tunapoelekea sasa duh !!!!
Umenikumbusha binti yangu ana nyege zilizopita viwango vyote vya kimataifa, mpaka nimemruhusu awe na mtu mmoja tu kwa sharti la kumwekea kitanzi ili asipate mimba na kila mwezi kupima ujauzito
 
Mkuu bila kutafuta mbinu ya kumsaidia binti yangu angeharibikiwa siku nyingi sana
Ni kweli ..ila hukuona njia nyengine ya kudhibiti hilo?
Mbona atakuwa..kitoweo sasa mpaka ukubwani?
Hiyo mtoto mtihani unao..kumruhusu afanye zinaa?
 
Huenda hujaelewa, msichana alitumia njia hyo kumuaminisha ticha. Nachojiuliza maswali form 2 unapata wapi hamu ya kifanya mapenzi jamani? Unapata wap akili ya kumu-aproach men, hizo akili zinakujaha ukubwani km kuna kitu unataka!shenji!
Wewe utakua mzee.
Vibinti vya sasa hivi viko tofauti sana. Hata miaka 16 bikra hana sasa jiulize imekuaje.
 
Hahahahs aisee jf bwana
kuna kile chama cha mabaharia kile wanakitengo chao kinaitwa "chap.. " nini sijui.
nadhan masuala madogo madogo kama haya wangemshaur namna ya kuya solve.

hakuna kisicho na m babe wake chini ya jua.
 
Amemaliza udsm Sasa hivi,lakini bila kufanya hivyo nadhani Sasa hivi angekuwa analea watoto au angekuwa na ukimwi, huo utaratibu alianza nao toka form two na bado yupo na huyo mzee wake ambaye ana mke na watoto, Sasa ndiyo anatafuta mchumba ili atoe kitanzi awe na familia yake
Aisee 。。。。wewe jamaa kauzu sana
 
Hii stori nikweli ,niliisikia mitandaoni kumhusu mwalimu na huyo mwanafunzi,nidhani ni maeneo ya buchosa kabla hujafika nyehunge,jina la shule nimelisahau kidogo nadhani mleta mada hajatunga ni kweli hii kitu ilishawahi tokea miaka ya nyuma,but

Endelea hapo kwenye ‘but...........
 
Hizo zinaitwa mbinu za malezi ukiwa na binti mwenye nyege zilizopita viwango vyote vya kawaida, inabidi umtafutie mtu mwelewa na utoe ruhusa ili akusaidie Mambo ambayo huwezi kumpa binti yako

Una mabinti wangapi..?
 
Back
Top Bottom