N nummy JF-Expert Member Joined Aug 20, 2011 Posts 587 Reaction score 166 Jul 15, 2013 #81 bujibuji said: maajabu ya mbeya hebu soma hii kwa makini kabisa. Huyu mzee alifika katika studio za kyela fm, anasema yeye anahitaji msaada anataka kwenda kumfufua mwl. Julius kambarage nyerere baba wa taifa aliyefariki miaka 15 iliyopita, na huo ufunguo ameushika mkononi ndiyo wa kumfufulia! Madai yake mzee huyu anasema anaenda kumfufua na mwalim ndiye atakuja kusimamia uchaguzi wa mwaka 2015. Na pia anaibashiria ccm kuwa mshindi atatoka katika chama cha ccm. Click to expand... wamruhusu tu itakuwa habari nzuri sana maana inauma sana kuona nchi inauzwa kwa pipi
bujibuji said: maajabu ya mbeya hebu soma hii kwa makini kabisa. Huyu mzee alifika katika studio za kyela fm, anasema yeye anahitaji msaada anataka kwenda kumfufua mwl. Julius kambarage nyerere baba wa taifa aliyefariki miaka 15 iliyopita, na huo ufunguo ameushika mkononi ndiyo wa kumfufulia! Madai yake mzee huyu anasema anaenda kumfufua na mwalim ndiye atakuja kusimamia uchaguzi wa mwaka 2015. Na pia anaibashiria ccm kuwa mshindi atatoka katika chama cha ccm. Click to expand... wamruhusu tu itakuwa habari nzuri sana maana inauma sana kuona nchi inauzwa kwa pipi
CHAMVIGA JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 7,687 Reaction score 2,240 Jul 15, 2013 #82 Huyu mzee anaumwa ugonjwa wa kufikiri.
Rugas JF-Expert Member Joined Jan 8, 2009 Posts 1,048 Reaction score 197 Jul 15, 2013 #83 bujibuji said: maajabu ya mbeya hebu soma hii kwa makini kabisa. Huyu mzee alifika katika studio za kyela fm, anasema yeye anahitaji msaada anataka kwenda kumfufua mwl. Julius kambarage nyerere baba wa taifa aliyefariki miaka 15 iliyopita, na huo ufunguo ameushika mkononi ndiyo wa kumfufulia! Madai yake mzee huyu anasema anaenda kumfufua na mwalim ndiye atakuja kusimamia uchaguzi wa mwaka 2015. Na pia anaibashiria ccm kuwa mshindi atatoka katika chama cha ccm. Click to expand... kwa hiyo akishindwa kumfufua na ccm ndo kwa heri?au hakuna uhusiano hapo!
bujibuji said: maajabu ya mbeya hebu soma hii kwa makini kabisa. Huyu mzee alifika katika studio za kyela fm, anasema yeye anahitaji msaada anataka kwenda kumfufua mwl. Julius kambarage nyerere baba wa taifa aliyefariki miaka 15 iliyopita, na huo ufunguo ameushika mkononi ndiyo wa kumfufulia! Madai yake mzee huyu anasema anaenda kumfufua na mwalim ndiye atakuja kusimamia uchaguzi wa mwaka 2015. Na pia anaibashiria ccm kuwa mshindi atatoka katika chama cha ccm. Click to expand... kwa hiyo akishindwa kumfufua na ccm ndo kwa heri?au hakuna uhusiano hapo!
mbisom ramos JF-Expert Member Joined Dec 5, 2011 Posts 812 Reaction score 397 Jul 15, 2013 #84 Bujibuji said: MAAJABU YA MBEYA HEBU SOMA HII KWA MAKINI KABISA. Huyu mzee alifika katika studio za Kyela FM, anasema yeye anahitaji Msaada anataka kwenda kumfufua Mwl. Julius Kambarage Nyerere baba wa Taifa aliyefariki Miaka 15 iliyopita, Na huo ufunguo ameushika mkononi ndiyo wa kumfufulia! Madai yake mzee huyu anasema anaenda kumfufua na Mwalim ndiye atakuja kusimamia uchaguzi wa mwaka 2015. Na pia anaibashiria CCM kuwa mshindi atatoka katika chama cha CCM. Click to expand... kavurugwa!
Bujibuji said: MAAJABU YA MBEYA HEBU SOMA HII KWA MAKINI KABISA. Huyu mzee alifika katika studio za Kyela FM, anasema yeye anahitaji Msaada anataka kwenda kumfufua Mwl. Julius Kambarage Nyerere baba wa Taifa aliyefariki Miaka 15 iliyopita, Na huo ufunguo ameushika mkononi ndiyo wa kumfufulia! Madai yake mzee huyu anasema anaenda kumfufua na Mwalim ndiye atakuja kusimamia uchaguzi wa mwaka 2015. Na pia anaibashiria CCM kuwa mshindi atatoka katika chama cha CCM. Click to expand... kavurugwa!
F FREDRICK FLAVIUN Member Joined Dec 20, 2012 Posts 13 Reaction score 1 Jul 15, 2013 #85 Logatho Mwolokujova said: Na kweli. hawakumwelewa babu. m nafikiri anamaanisha CCM kushinda 2015 itawezekana tu kama Mwl J K N atafufuka na awe Campain manager wa CCM. kitu ambacho hakiwezekani. Click to expand... kweli!
Logatho Mwolokujova said: Na kweli. hawakumwelewa babu. m nafikiri anamaanisha CCM kushinda 2015 itawezekana tu kama Mwl J K N atafufuka na awe Campain manager wa CCM. kitu ambacho hakiwezekani. Click to expand... kweli!
Ntale Wi Isumbi JF-Expert Member Joined Apr 4, 2012 Posts 480 Reaction score 127 Jul 15, 2013 #86 Mimi nashauri kama huyu babu aliwahi kuwa mtumishi wa umma, serikali ilimpe mafao yake alee wajukuu kwa amani kuliko kuja na hadithi hizi.
Mimi nashauri kama huyu babu aliwahi kuwa mtumishi wa umma, serikali ilimpe mafao yake alee wajukuu kwa amani kuliko kuja na hadithi hizi.
Bujibuji Simba Nyamaume Platinum Member Joined Feb 4, 2009 Posts 78,157 Reaction score 166,115 Jul 16, 2013 Thread starter #87 nummy said: wamruhusu tu itakuwa habari nzuri sana maana inauma sana kuona nchi inauzwa kwa pipi Click to expand... Akishindwa tumpe adhabu gani?
nummy said: wamruhusu tu itakuwa habari nzuri sana maana inauma sana kuona nchi inauzwa kwa pipi Click to expand... Akishindwa tumpe adhabu gani?