Ajira zinazotangazwa na serikali

Ajira zinazotangazwa na serikali

PistolGang

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
392
Reaction score
44
NI HILI SHARTI LA 9 na 10:

ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi. x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.

Nachotaka kujua wao watafahamu vipi kuwa huyu tiyari ni muajiriwa sekta fulani ya utumishi na wakati barua zinapelekwa hard copies? au maelezo mengine ya ziada nifahamisheni.
 
Kaka ili walushortlist inamaa wakiona wafaa watakuweka ktk data base yao sooo kama ni mtumishi utaonekana
Au wee huwa unaona waitwao interview majina yameandikwa kwa mkono!! Si ni SIPIYU typed names
Pia hayo mashart sio mapya bali ya kisa siku
 
NI HILI SHARTI LA 9 na 10: ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi. x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010. Nachotaka kujua wao watafahamu vipi kuwa huyu tiyari ni muajiriwa sekta fulani ya utumishi na wakati barua zinapelekwa hard copies? au maelezo mengine ya ziada nifahamisheni.

Mkuu,kumbuka ile ndiyo wizara ya UTUMISHI hivyo ni rahisi kukutresi.
 
ni rahisi kujua kama unaajira tayari maana watumishi wote wa umma wapo kwenye data base, na wanapotaka umjulishe mwajiri wako wanamaanisha kuwepo na utaratibu wa kukuhamishia sehemu nyingine ya kazi/kada bila kuleta mgongano na hii hutokea pale jina moja kuwa na waajiri zaidi ya mmoja wakati sera ya ajira ktk utumishi wa umma hairuhusu kuwa na ajira zaidi ya 1.
 
Back
Top Bottom