Ajira za walimu zitatoka lini?

Ajira za walimu zitatoka lini?

Kweli jk hatukuona umuhimu wake pind alipokuwepo madarakani watu walimdhihaki sana ,leo hii jk alikuwa ni muhimu sana kwa tabaka la wanyonge waliosomea ualimu na afya ajira nje nje bila kubagua arts or science now si ka awali kwanza ajira za pigwa danadana tena kwa ubaguzi unaambiwa walimu wa math ndo priority du kwa wasatonge kama mimi BED policy management )kiswahili)tumbo joto sana yaani unachoka total hata plan B unashindwa kufikiria,du magufuri ni hatari sana anachoangalia ni nchi na s ukombozi wa mtu binafsi aya bhana its ok,sijui jesca akimaliza chuo nae atasuffer like dis.
 
Kweli jk hatukuona umuhimu wake pind alipokuwepo madarakani watu walimdhihaki sana ,leo hii jk alikuwa ni muhimu sana kwa tabaka la wanyonge waliosomea ualimu na afya ajira nje nje bila kubagua arts or science now si ka awali kwanza ajira za pigwa danadana tena kwa ubaguzi unaambiwa walimu wa math ndo priority du kwa wasatonge kama mimi BED policy management )kiswahili)tumbo joto sana yaani unachoka total hata plan B unashindwa kufikiria,du magufuri ni hatari sana anachoangalia ni nchi na s ukombozi wa mtu binafsi aya bhana its ok,sijui ***** akimaliza chuo nae atasuffer like dis.
Tumia elimu yako kujipatia kipato.. una elimu alafu unashindwa kuitumia.. yani unawaza ajira tuu za serikali... au ndicho kilichokufanya usomee ualimu ili upate ajira fasta fasta... sasa tumia elimu yako kujiajiri kuwa ata dalali utaishi tuu...au jiajiri kwa kufungua tuition eneo uliopo kwa kuwafuta watoto kwao inalipa sana...
 
Tumia elimu yako kujipatia kipato.. una elimu alafu unashindwa kuitumia.. yani unawaza ajira tuu za serikali... au ndicho kilichokufanya usomee ualimu ili upate ajira fasta fasta... sasa tumia elimu yako kujiajiri kuwa ata dalali utaishi tuu...au jiajiri kwa kufungua tuition eneo uliopo kwa kuwafuta watoto kwao inalipa sana...
 
Najaribu ku think beyond kwann huu wabebeshwe graduates wa 2015 ambao wange ajiriwa mapema 2016 kama ilivyo tazamiwa.
Mfano barabara ikiwa inajengwa wanaweka divertion roads hii husaaidia huduma ya usafir kama kawaida kwaa mtazamo wangu suala la uhakiki na wafanyakaz hewa na kupitia mfumo mzima wa serikali ungefanyika bila kusitisha ajira.
Hapa napata ukakasi kidogo niki jarb ku think a little bit more (majibu nayapata)
 
Wanajamvi,,,,

Tuliambiwa na serikali kuwa ajira zingekuwa tayari mwezi May.......lakini mpaka sasa ni juma la pili la mwezi Juni laelekea mwisho.

Je, taasisi husika iliamua kudanganya watanzania kwa manufaa gani......????

Tatizo ni nini mpaka sasa zisiwe tayari......???

Mwenye kujua zaidi atuambie ni lini zitakuwa released......

"Njoo uyaone maajabu ya nyumba yethuwezi kuilazimisha serikali kuajili, kwanza kuajiri walimu moja KWA moja bila kufanya interview ilikuwa ni program iliyoishia Mwaka wa fedha 2013/2014, ajira ya mwakajana waliwasaidia tu ila mipango ya gvt ilikuwa ni 2013/2014 baada ya hapo walimu wangeajiriwa KWA kujaza akidi tu, yaani kama sehemu kuna upungufu wa walim wawili inatakiwa mpeleke application letter then mkafanye interview na kuendelea
 
Mtaajiliwa Katikati ya Mwezi July-August;endelea kua mvumilivu
Nikweli kabisa....uvumilivu ndio jambo la busara kwa sasa...ila pia kujishughulisha kama ulipata sehemu pia sio mbaya...!
 
Nikweli kabisa....uvumilivu ndio jambo la busara kwa sasa...ila pia kujishughulisha kama ulipata sehemu pia sio mbaya...!
Hakuna cha kuvumilia we kama umesomea masomo ya sanaa tafuta pa kujishikiza kabla haujachelewa sana
 
Hakuna cha kuvumilia we kama umesomea masomo ya sanaa tafuta pa kujishikiza kabla haujachelewa sana
Wewe jamaa una roho mbaya wewe, nahisi ungekuwa mungu ucngekubali baadhi ya watu waishi, maana nilishafatilia comments zako n za kinafiki na kukatisha watu tamaa, na kujaa majivuno, bila shaka wewe nu mhaya.
 
Ndio huyu jamaa ni mhaya mimi namfaham...Nuksi sana alafu ukute ndio yuko ktk wale hewa...cheti cha shemeji
 
Wewe jamaa una roho mbaya wewe, nahisi ungekuwa mungu ucngekubali baadhi ya watu waishi, maana nilishafatilia comments zako n za kinafiki na kukatisha watu tamaa, na kujaa majivuno, bila shaka wewe nu mhaya.
Tatizo watu huwa hataki kuambiwa ukweli, mimi nasema hali ilivyo na sijasema msiajiriwe.
 
",,,,,,Baada ya mwezi mmoja au mmoja na nusu na haitazidi miwili ,,,,zoezi la ajira litaendelea..." ....(Mkulu)

Eti....ivi zimebaki siku ngapi kukamilika hiyo miezi miwili.......???

Napita tuuuu......!!!
 
Back
Top Bottom