sir j
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 319
- 214
Wanajamvi,,,,
Tuliambiwa na serikali kuwa ajira zingekuwa tayari mwezi May.......lakini mpaka sasa ni juma la pili la mwezi Juni laelekea mwisho.
Je, taasisi husika iliamua kudanganya watanzania kwa manufaa gani......????
Tatizo ni nini mpaka sasa zisiwe tayari......???
Mwenye kujua zaidi atuambie ni lini zitakuwa released......
"Njoo uyaone maajabu ya nyumba yetu" ________ Mpoto
Tuliambiwa na serikali kuwa ajira zingekuwa tayari mwezi May.......lakini mpaka sasa ni juma la pili la mwezi Juni laelekea mwisho.
Je, taasisi husika iliamua kudanganya watanzania kwa manufaa gani......????
Tatizo ni nini mpaka sasa zisiwe tayari......???
Mwenye kujua zaidi atuambie ni lini zitakuwa released......
"Njoo uyaone maajabu ya nyumba yetu" ________ Mpoto