Ajira za walimu zimepotelea wapi?

Ajira za walimu zimepotelea wapi?

Na nyie walimu sindo uwa mnashirikiana na CCM kuiba kula za wananchi

kila mtu abebe mzigo wake nendeni kwenye ofisi za Ccm mkalalamike

Walimu mnatumika km kondomu tu ukiwa unaenda mechi kondomu inakaa mfuko wa shati tena inatunzwa vzr ila baada ya Mechi kondomu inatupwa chooni au kichakani sasa ndo nyie walimu
Hamna sio hawa ni wale Mbao wapo kwenye mfumo
 
Jamani hakuna pdf itatoka bila interview utumishi kwaiyo huu mwezi msisubirie pdf kwamba itatoka ni mpaka interview zianze January 17
Hizi habari za gpa ni kudanganyana coz hakuna tangazo lolote serikali imelitoa kuonyesha namna hiyo. Hivyo basi watu msiache kujiandaa na interview maana January ndio watatangaza interview ili walimu wakaripoti March. Maana mwaka ujao serikali haitoajiri Tena waalimu inataka hizi nafasi za mwaka huu ndio zizibe gepu la kuajiri mwakani.simnajua siasa au mpaka mkumbushwe
 
Hizi habari za gpa ni kudanganyana coz hakuna tangazo lolote serikali imelitoa kuonyesha namna hiyo. Hivyo basi watu msiache kujiandaa na interview maana January ndio watatangaza interview ili walimu wakaripoti March. Maana mwaka ujao serikali haitoajiri Tena waalimu inataka hizi nafasi za mwaka huu ndio zizibe gepu la kuajiri mwakani.simnajua siasa au mpaka mkumbushwe
Umwchanganyikiwa wewe
 
Back
Top Bottom