Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,388
- 10,847
Hope mko poa
Tamisemi kwenye ajira za walimu, wanatoa option ya muombaji kuchagua shule anayoitaka. Muombaji anapewa option tano.
Lakini Cha kushangaza vijana waliopata ajira ninao wafahamu, hakuna ata mmoja aliyepangiwa shule aliyoomba.
Je kuna walimu waliopangiwa shule walizoomba ambao wewe msomaji wa hii thread unawafahamu.
Kama waombaji hawapingiwi shule walizoomba, je Kuna haja gani ya kuchagua shule wakati wa application
Karibu
Tamisemi kwenye ajira za walimu, wanatoa option ya muombaji kuchagua shule anayoitaka. Muombaji anapewa option tano.
Lakini Cha kushangaza vijana waliopata ajira ninao wafahamu, hakuna ata mmoja aliyepangiwa shule aliyoomba.
Je kuna walimu waliopangiwa shule walizoomba ambao wewe msomaji wa hii thread unawafahamu.
Kama waombaji hawapingiwi shule walizoomba, je Kuna haja gani ya kuchagua shule wakati wa application
Karibu