Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,500
- 3,157
Bora ume mwambia ukweliAisee Me Ni Graduate wa Mzumbe.Nimeumia Sana Kuona Graduate Wa UDSM anamaliza Chuo Ajui CPA ni nini Ni Aibu Kwa Fani yetu.Umedhalilisha Fani Ya UHasibu Umedhalilisha CHuo Ulichotaja.Mwaka wa Pili Ulisoma Nini kwenye Auditing,Financial Accounting II.?