mkomanzila
Member
- Aug 8, 2014
- 20
- 1
....ni upuuzi ambao yapaswa WANANCHI tuwaamulie kweli hawa watu... Hakuna UHALALI wakuchukua wafanyakazi ambao tayari wapo kwenye AJIRA tena Jeshini halafu huku URAIANI wanaachwa wasomi pia kisa eti Kuogopa UNDUGU.
ndugu una uhakika na ulichokiandika?tuliza jazba kaka