Uhuru na Umoja. Tanzania Nchi huru na ya haki! Ikiainishwa kuwa kina nani waliyopata kihalali na wasiyo halali kati ya hao wateule, na waliyo haki kupewa haki yao, kwa kufanya hivyo basi, usawa usio kuwa na upendeleo wa upande wowote ule utakuwa umewekwa bayana. Mungu ibariki Tanzania.
Mambo Vipi sweets upoTobaaa...
Mambo Vipi sweets upo
....yaani hii RIPOTI ya TUME mbona haijaorodhesha IDADI ya waliopita KIHALALI..? Au mpaka tuorganise MAANDAMANO...