Ajira za sekretariati ya utumishi

Ajira za sekretariati ya utumishi

Brother James

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
233
Reaction score
172
Guys nimebahatika kushuhudia na kuhudhulia interviews za ajira zinazoendeshwa na Sekretariat ya ajira-UTUMISHI WA UMMA, kwa kweli inasikitisha sana kuona jinsi wanavyoziendesha kienyeji. Kila siku wanalalamika kuwa vyeti feki vinatumika ktk kuombea ajira lakini siku ya ukaguzi utacheka sana, mwakilishi anashika cheti original na kuangalia as if amekipata kabla ya interview. wataangaliaje cheti juu juu wakati kila siku wanalia na vyeti feki? Pls pls badilikeni.

Pili, nimebahatika kufanya interviews zao tatu ambazo hadi leo hii bado hawajaita mtu kazini, tena interviews zote zilikuwa za kuanzia mchujo then ndio oral interview, zote nilipita. KItu ninachotaka pia wanajamii mtambue jinsi hawa jamaa walivyo wazembe ni ktk nafasi mbili nilizofanyiwa interviews, zilikuwa zinahitaji mtu mwenye experince ya kazi si chini ya miaka 6, cha ajabu interviewees wote hakuna aliyekaguliwa vyeti vya ajira (CV) tulizopata kuzifanya/tunazozifanya zaidi walitaka academic certificates tu, je mnadhani kwa mtindo huu tutafka kweli? haiingi akili kuona sifa zinazotakiwa hazikaguliwi, au ndio tuamini kuwa watu wamekwisha andaliwa kwa ajili ya kazi husika?
SEKRETARIATI YA AJIRA KAMA MNATAKA WATU WAAMINI KAZI MNAZOFANYA KUWA SAFI PLS BADILIKENI HARAKA
Kama kuna mtu ame-experience kitu kama hiki naomba ufunguke hapa ili kuwaamsha UTUMISHI.........!!!!
 
Brother James, mimi pia nimewahi kukutana na vitu kama hivyo kwa hawa jamaa, hawapo serious kabisaa. Sisi tulifanyia pale Elimu ya Watu Wazima, hakuna hata mmoja wetu aliyekaguliwa vyeti. Nikajiuliza kuwa kumbe ajira zao zinatosha kabisa kuombe photocopies tu.....tunataka wabadilike kwa kweli. Pia changamoto tuliyokutana nayo ni kupunguziwa muda wa kufanya mtihani wa mchujo. Paper limeandikwa dk.60 wao wakaona hawawezi kusubiri muda wote huo, wakatupa dk.40 kiasi kwamba wengi hatukumaliza kujibu maswali 6 ya kujieleza tupu
 
Brother James, mimi pia nimewahi kukutana na vitu kama hivyo kwa hawa jamaa, hawapo serious kabisaa. Sisi tulifanyia pale Elimu ya Watu Wazima, hakuna hata mmoja wetu aliyekaguliwa vyeti. Nikajiuliza kuwa kumbe ajira zao zinatosha kabisa kuombe photocopies tu.....tunataka wabadilike kwa kweli. Pia changamoto tuliyokutana nayo ni kupunguziwa muda wa kufanya mtihani wa mchujo. Paper limeandikwa dk.60 wao wakaona hawawezi kusubiri muda wote huo, wakatupa dk.40 kiasi kwamba wengi hatukumaliza kujibu maswali 6 ya kujieleza tupu

Ndio maana tunataka wabadilike kwani bila kuwasema wataendelea kuiendesha Sekretariat ya Ajira kwa makosa makubwa tena ya wazi kabisa, Zamani Serikali ikikuita kwa ajili ya kazi ghalama zote walikuwa wakighalamia lakini siku hizi hata nauli wanashindwa kurudisha...Mbona kuna mashirika ya Umma yakikuita kwenye interview huwawezesha interviewee??. Massive, umefanya vizuri kufunguka hapa.....tusubiriwatu wengine wanasemaje juu ya mapungufu haya
 
Pia hawa utumishi siwaelewi kabisa, kwanini wanaita watu kwenye usaili bila kutoa majibu ya usaili wa mwanzo? Mfano, unafanya usaili novemba kabla majibu hayajatoka wanaita usaili mwingine desemba kwa kazi nyingine bila kujali kua waombaji wengi ni walewale. Yawezekana mtu akapata nafasi 2 au zaidi nakuzibia wengine.
 
Naomba niwatete ukiitwa kwenye interview ujue vigezo vingine vyote vimekaguliwa na vyeti vinaangaliwa ili kulinganisha what u submitted as a copy tally with original.
 
guys nimebahatika kushuhudia na kuhudhulia interviews za ajira zinazoendeshwa na sekretariat ya ajira-utumishi wa umma, kwa kweli inasikitisha sana kuona jinsi wanavyoziendesha kienyeji. Kila siku wanalalamika kuwa vyeti feki vinatumika ktk kuombea ajira lakini siku ya ukaguzi utacheka sana, mwakilishi anashika cheti original na kuangalia as if amekipata kabla ya interview. Wataangaliaje cheti juu juu wakati kila siku wanalia na vyeti feki? Pls pls badilikeni.

Pili, nimebahatika kufanya interviews zao tatu ambazo hadi leo hii bado hawajaita mtu kazini, tena interviews zote zilikuwa za kuanzia mchujo then ndio oral interview, zote nilipita. Kitu ninachotaka pia wanajamii mtambue jinsi hawa jamaa walivyo wazembe ni ktk nafasi mbili nilizofanyiwa interviews, zilikuwa zinahitaji mtu mwenye experince ya kazi si chini ya miaka 6, cha ajabu interviewees wote hakuna aliyekaguliwa vyeti vya ajira (cv) tulizopata kuzifanya/tunazozifanya zaidi walitaka academic certificates tu, je mnadhani kwa mtindo huu tutafka kweli? Haiingi akili kuona sifa zinazotakiwa hazikaguliwi, au ndio tuamini kuwa watu wamekwisha andaliwa kwa ajili ya kazi husika?
Sekretariati ya ajira kama mnataka watu waamini kazi mnazofanya kuwa safi pls badilikeni haraka
kama kuna mtu ame-experience kitu kama hiki naomba ufunguke hapa ili kuwaamsha utumishi.........!!!!

kigezo cha experience ni moja ya njia ya kupunguza jam ya applications.
Kukagua cheti haraka haraka ni trust waliyonayo kwako wewe applicant kuwa you cant cheat and you are trustworth baadae watakukamata tu kama umegushi. Na vile applicant walivyo wanafanya hivyo kukuwahisha wewe applicant usikae sana foreni na dar ukamaliza pesa. Ujue baada ya kukuweka kazini zoezi haliishi hapo, watatafuta sifa zako toka shule na vyuoni. Watakushika tu.
Kuhusu kuchelewa kuita kazini. Hawa jamaa wanafuatilia sifa za mwombaji taratibu kabisa mmoja baada ya mwingine. Ukibainika ume forge hawawezi kukuita na nafasi hiyo itafanyiwa interview tena.
 
Back
Top Bottom