Ajira za muda za udadisi takwimu NBS

Ajira za muda za udadisi takwimu NBS

RRD

Member
Joined
Oct 7, 2017
Posts
21
Reaction score
9
Nauliza kwa wale waliofanya interview ya oral majibu tayar au bado maana SKU zmekua nyngi n kimy tu mm npo mwanz VP huko mikoa mingne
 
kuna mtu namfahamu yuko moshi anafanya hizi kazi za nbs,sasa sijui ndo unazozizungumzia mkuu?
 
kuna mtu namfahamu yuko moshi anafanya hizi kazi za nbs,sasa sijui ndo unazozizungumzia mkuu?
Zenywe n za utafiti wa mapato na matumiz ya kaya binafsi 2017/2018 usaili ushafanyk lkn hakuna majibu mpk sasa
 
Zenywe n za utafiti wa mapato na matumiz ya kaya binafsi 2017/2018 usaili ushafanyk lkn hakuna majibu mpk sasa
hata huyo anafanya mambo hayo hayo,walifanyia interview pale chuo cha takwimu changanyikeni
 
hata huyo anafanya mambo hayo hayo,walifanyia interview pale chuo cha takwimu changanyikeni
Hapana hizo zilizofanyika vhanganyikeni ni za wadada tu, af haiwezekani mtu afany interview changanyikeni akafanye kazi moshi, hii ilikuwa inahusu kata na mtaa muombaji anakotoka ndo anakofanya kazi
 
Nauliza kwa wale waliofanya interview ya oral majibu tayar au bado maana SKU zmekua nyngi n kimy tu mm npo mwanz VP huko mikoa mingne
Bado aiseeee, hata huku dsm kimya, naona bado wanawapa ndugu zao nafasi! Ukipata mshukur mungu
 
  • Thanks
Reactions: RRD
Nshawai Fanya kaz zao pia, watakua wanasubir Pesa maana mnavoanza kaz mnalipwa kabsa
 
Tare 6 watu wameitwa dodoma kwa ajili ya mafunzo
 
Back
Top Bottom