Ajira yenye utata

Alitakiwa kumuongoza dogo,,sasa yeye anamlaumu nini?,maana mimi mdogo wangu alipata watu wa hivyo tena wakawa wanampigia sana simu ili awaishe hela ili ajiunge Tanesco mkoa wa mwanza,,na kwamba kulikuwa inaitajika hela ya fomu na mafunzo,,nikamwambia sikupi hiyo hela kwani ni matapeli,,nikamwambia nipe niongee nae yule jamaa alikacha baada ya kuongea nae,,hivyo huyo brother alitakiwa kumwongoza mdogo wake na asifikilie amemaliza hapo inabidi amsaidie mpaka afanikiwe.
 
kabisa ndugu, mzigo wa lawama ni yeye na Wala si huyo dogo.
 
we bro wake umeniudh sana
hiv leo unatoa hela kwa dizain hio we bro gan wa kiambu au?
 
Mambo mengine mbona yako wazi hata hayahitaji ushauri yaan utoe 5M kutafta kazi unakuwa akili kweli,ok jf ulikuja kuomba ushauri wa nini kama tyari ulikuwa na maamuzi yako *** u
 
Ni volunteers ndio wanatakiwa kwa hiyo sio kazi ya mshahara bali unasaidia masikini

Hiyo inawafaa wazungu zaidi ambao wanataka kuja nchi masikini na kusaidia kwa hiari
Kama una hela za ziada na unataka kusaidia communities sawa wekeza tu
 
Rubbish sperms
 
Kweli nmeamini mtu kuwa mtu mzima haimaanishi una akili timamu, wewe ni mpumbavu
 
Tangu mwanzo unaambiwa hao ni matapeli lkn huelewi, bila shaka kichwani umechomekwa dudu hakuna ubongo
 
Hapo kuna utapeli gani kwani?Wao kama wana pesa na wanataka kazi basi watoe Pesa wapewe kazi.Kama hawana Pesa wakatafute kazi za bure ziko nyingi sana.
Wewe na mtoa mada wote ni wapumbavu tena Rubbish sperms kichwani mmechomekwa dudu badala ya ubongo
 
Boss nipo pamoja nawe, mm pia nmefurahi sana alivotapeliwa. Ifike mahali mtu ajitambue
 
Kama dogo nae yupo kwenye hilo deal bc mtoa mada ni bwege wa kimataifa, nmefurahia sana
 
Wazo zuri ila tatizo nikwamba haruhusiwi kufanya mafunzo kabla hajakamilisha malipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kakutana na matapeli hakuna ajira hapo wanataka kumpiga hauhitaji kuwa na degree kujua kuwa hakuna ajira na huenda kama shirika lipo kweli anaowasiliana nao ni matapeli na shirika halina habari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…