Ajira ya shilingi elfu tisini(90000)

Ajira ya shilingi elfu tisini(90000)

Huyu mtu kweli anakunywa viroba au ana shida nyingine coz mimi nina watu wanafanya hizo bank na mfano Nmb unaanza na 545000/= ambayo imepanda hadi 600k kwa sasa.hata Twiga bank ambao ndio wanjitahidi kulipa vizuri wanalipa sh 1.2m kwa graduate mwenye uzoefu.
Mshahara wa 1.7m ni makampuni machache sana wanaotoa
 
Back
Top Bottom