Mmh mwaka huu noma,tunapoelekea waajiriwa wa ualimu nao watachukuliwa kwa gpa tena ile ya 3.5itakuwaje msala wa kuachwa walimu wengi kitaa,na hii jambajamba ya wLimu wa sanaa kutosha ndo tishio,by ze way me naona ajira January maana hilo swala la kuhama kwenda idodomia nalo linaharibu budget,da tulimchagua kwa upendo wa dhati bt now joto la hasira