Nawasalimu ndugu zangu.kumekua na matamko mbalimbali juu ya swala la ajira hatimaye raisi akafunga milango mwezi na nusu umeisha ivo..." Haitazidi miezi miwili" lakini mara issue ya vyeti feki inaibuka napata shaka sana juu ya ili mwenye kuelewa juu ya hili tafadhari maana upotoshaji umeenea ...