Ajira Serikalini zitafunguliwa lini?

Ajira Serikalini zitafunguliwa lini?

Nyanda21

Senior Member
Joined
Jun 6, 2016
Posts
134
Reaction score
60
Nawasalimu ndugu zangu.kumekua na matamko mbalimbali juu ya swala la ajira hatimaye raisi akafunga milango mwezi na nusu umeisha ivo..." Haitazidi miezi miwili" lakini mara issue ya vyeti feki inaibuka napata shaka sana juu ya ili mwenye kuelewa juu ya hili tafadhari maana upotoshaji umeenea ...
 
Nawasalimu ndugu zangu.kumekua na matamko mbalimbali juu ya swala la ajira hatimaye raisi akafunga milango mwezi na nusu umeisha ivo..." Haitazidi miezi miwili" lakini mara issue ya vyeti feki inaibuka napata shaka sana juu ya ili mwenye kuelewa juu ya hili tafadhari maana upotoshaji umeenea ...
Wait,mpaka 9 mara baada ya zoezi la uhakiki wa vyeti likamilike mwezi huu.
 
Wait,mpaka 9 mara baada ya zoezi la uhakiki wa vyeti likamilike mwezi huu.
Wanashindwa nini kuajiri na kuendelea na zoezi hilo, kwanini zoezi liibuke mwishoni mwa tamko la rais?
 
Na tena uku kuhamia dom kutaleta chelewesho hatar
 
Wanakatisha tamaa vijana,mbaya zaidi anaotaka yeye rais waajiriwe wanaajiriwa,maana toka tamko LA kuzuia limetoka tumeshuhudia post za wakuu wa wilaya,wakurugenzi,ma das , wameajiriwa ....
 
Mvumilivu hula mbivu kuwa na subira ipo siku wanayoijua wao wataanza kuajiri tu kama ipo ipo tu
 
Pesa za miundo mbinu mipya huko Dodoma zitatoka ktk fungu gan.?! Kwanin wanaingilia miladi isiyo kuwa na ulazima
 
Kumbe ule mwimbo wa mbele kwa mbele ulikuaa una maaana flan ivii.. hawa jamaaaa duuu
 
Kuna zoezi la uhakiki watumishi hewa, kuna zoezi la ukaguzi wa vyeti......
Hivi hivi vitu ni vya kuchukua miezi miwili serious? Tanzania ina watumishi Wangapi wakukaguliwa miezi miwili, mbona zoezi la sensa la nchi nzima huwa hakichukui miezi??
 
Nafkiri itakuwa next year on january ndiyo mambo yatakaa sawa.
Asahivi wanahangaikia vyeti feki mara wahakiki upya nchi nzima mara wakarabati nyumba za waheshimiwa Dodoma.
Mmh! Huyu NGOSHA NAYE ANAZINGUA
 
kuna uhakiki ambao binafsi naita sensa maana kila mfanyakazi taarifa zake zinakuwepo halmashauri husika....so Hapa labda Waite sensa ya watumishi....

then baada ya hapo tunahamia Dodoma....

then baada ya hapo ni ukarabati Wa majengo ya uma kwanza..

then baada ya hapo ni kutoa vifaa vya shule na madawa...
 
Mkuu huend mpka 2020 wakiwa wanaomba kura tena kwa mwendo huu kwanza wapo bize na vyeti feki wakitoka hapo wanaend kuwek kambi dom sasa unafikiri watakukumbuka lini?
Hii awamu ni noma. tutaishi km mashetani
 
Back
Top Bottom