Wewe umeplay your party,mwache aamue mwenyewe.Ukimlazimisha unavyotaka,baadaye mambo yakiwa magumu atasema wewe ulimlazimisha,yalikuwa maamuzi yako na siyo yake.Ila hata hiyo private anatakiwa ajue,itasurvive industry ya education kwa muda wote,performance ya shule ikoje kimkoa na kitaifa?Nadhani unajua shule za private hupata wanafunzi wengi zinapoperform vizuri na zinaweza kosa kabisa wanafunzi kama waliopita watafail.Sasa hivi ajira ni tight,wasomi kibao wako street,kwa kipindi hiki tulichonacho mi narecommend serikalini.Kuhusu kipato kuwa kidogo unaweza ukatafuta njia zingine za kujiongezea kipato na mambo yakawa poa tu.Ok thanks