Majinzi
Senior Member
- Oct 28, 2018
- 147
- 203
Tangia tar 7 serikali kupitia tamisemi ilitangaza rasmi kifungua dirisha la kutuma maombi ya ajira kada ya Ualimu.
Lakini cha ajabu system yao imekuwa kizungumkuti, ukiingia inaload tu haifunguki
Na hatapale unapoivizia usiku ikifungua kuna vipengele vinakuwa havifunguki.
Je, hii changamoto tamisemi wanaijua au imewekwa na wao makusudi?


Lakini cha ajabu system yao imekuwa kizungumkuti, ukiingia inaload tu haifunguki
Na hatapale unapoivizia usiku ikifungua kuna vipengele vinakuwa havifunguki.
Je, hii changamoto tamisemi wanaijua au imewekwa na wao makusudi?


