bei gani wanaanza na mshahara napend kujua
bei gani wanaanza na mshahara napend kujua
Itakuwa TGS.D
mpaka hapo umeshapoteza sifa. Hii ni kazi ya wito na kama hauna wito unaweza kuleta madhara makubwa sana kwa jamii na taifa kiujumla.. kama salary ndio kigezo basi kuna uwezekano mkubwa sana wa wewe kushirikiana na wahalifu ili kujipatipatia fedha zaidi. Jeshi likiundwa na wenye wito malalamiko yatapungua sana
"Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)mpaka hapo umeshapoteza sifa. Hii ni kazi ya wito na kama hauna wito unaweza kuleta madhara makubwa sana kwa jamii na taifa kiujumla.. kama salary ndio kigezo basi kuna uwezekano mkubwa sana wa wewe kushirikiana na wahalifu ili kujipatipatia fedha zaidi. Jeshi likiundwa na wenye wito malalamiko yatapungua sana
wew wito l
hata mshahara laki
Mbisere ebu tupe data tuwapeleke kaka zetu