A
Anonymous
Guest
Ajira mpya Afya Makambako TC 2025 hatujapewa pesa ya kujikimu hadi Februari hii 2026, sasa na hao watu wa mikopo wanatusumbua sana.
Kwa sasa Hii ni mbinu mojawapo ya Utapeli wa Serikali ya CCM. Na kwa sababu hakuna mtu wa kuwawajibisha, hiyo hela hamtaipata milele