Maelezo yote yapo kwenye tovuti ya Police (website ya ajira Police tz) check hizi screen shots (azipo kimpangilio )hope zitakusaidia all the Best Mungu akusimamie🙏
Muwe mnasoma matangazo wakuu, tangazo kama umelisoma linaeleza kabsa hakuna sehem wanataka cheti cha jkt, means wamekitoa japo kweny mfumo wao wa kuomba kuna sehem ya kukijaza kama other qualifications
Muwe mnasoma matangazo wakuu, tangazo kama umelisoma linaeleza kabsa hakuna sehem wanataka cheti cha jkt, means wamekitoa japo kweny mfumo wao wa kuomba kuna sehem ya kukijaza kama other qualifications