AJIRA: Anahitajika Muuzaji wa DLDM

Mtumaini Mungu

JF-Expert Member
Aug 3, 2021
879
1,061
Tumshukuru Mungu, Hakuna kinacho shindikana mbele zake.

Anahitajika Muuzaji wa DLDM, sifa zifuatazo.

1.Awe binti/Mwanamke
2.Umri chini ya miaka 23.
3.Awe amehudhuria mafunzo ya ADDO na awe cheti.
4.Awe tayari kufanya kazi mazingira ya vijijini.

Bonus.
1.Sehemu ya Kulala
2.Chakula cha Mchana
3.Posho kadiri ya mauzo.

Mshahara MAKUBALIANO.

Tuwasiliane
mmagawa817@gmail.com
 
Huwezi kupata huyo mtu chini ya miaka 23,na je kama ukipaa chini ya miaka hiyo akifikisha miaka 23 ndio basi kazi inakoma?
Chini ya umri huo mbona wapo,sasaivi kuna vijana form 1 wanaanza na miaka 13,16 anamaliza form four,
 
Tumshukuru Mungu, Hakuna kinacho shindikana mbele zake.

Anahitajika Muuzaji wa DLDM, sifa zifuatazo.

1.Awe binti/Mwanamke
2.Umri chini ya miaka 23.
3.Awe amehudhuria mafunzo ya ADDO na awe cheti.
4.Awe tayari kufanya kazi mazingira ya vijijini.

Bonus.
1.Sehemu ya Kulala
2.Chakula cha Mchana
3.Posho kadiri ya mauzo.

Mshahara MAKUBALIANO.

Tuwasiliane
mmagawa817@gmail.com

DLDM NI KITU GANI?

UPO MKOA GANI?

WILAYA GANI?

BINTI YUPO.
 
Tumshukuru Mungu, Hakuna kinacho shindikana mbele zake.

Anahitajika Muuzaji wa DLDM, sifa zifuatazo.

1.Awe binti/Mwanamke
2.Umri chini ya miaka 23.
3.Awe amehudhuria mafunzo ya ADDO na awe cheti.
4.Awe tayari kufanya kazi mazingira ya vijijini.

Bonus.
1.Sehemu ya Kulala
2.Chakula cha Mchana
3.Posho kadiri ya mauzo.

Mshahara MAKUBALIANO.

Tuwasiliane
mmagawa817@gmail.com
Chini ya miaka 23? Utampata hila usimfanye mkeo
 
Tumshukuru Mungu, Hakuna kinacho shindikana mbele zake.

Anahitajika Muuzaji wa DLDM, sifa zifuatazo.

1.Awe binti/Mwanamke
2.Umri chini ya miaka 23.
3.Awe amehudhuria mafunzo ya ADDO na awe cheti.
4.Awe tayari kufanya kazi mazingira ya vijijini.

Bonus.
1.Sehemu ya Kulala
2.Chakula cha Mchana
3.Posho kadiri ya mauzo.

Mshahara MAKUBALIANO.

Tuwasiliane
mmagawa817@gmail.com
Pharmtec sina addo jinsia ya kiume ukikosa nicheki
0620244200
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom