Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,582
- 10,715
wizara ya afya jana imetangaza kumwaga ajira 8000 na hii ni kutokana na uhaba mkubwa wa watumishi katika hospital za rufaa, kwa hiyo vijana jiandaeni tena kufanya maombi ili mlambe asali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hta mimi wakwangu nimemchokaBora waje wapya huyu nurse wangu nishamchoka
Hilo tangazo la ajira amelitoa nani na source ipi?wizara ya afya jana imetangaza kumwaga ajira 8000 na hii ni kutokana na uhaba mkubwa wa watumishi katika hospital za rufaa, kwa hiyo vijana jiandaeni tena kufanya maombi ili mlambe asali
zipo nyingine zinakujaHilo tangazo la ajira amelitoa nani na source ipi?
Mbona wizara ya afya ilitangaza ajira 247 tu mwezi April.
Leta ilo tangazowizara ya afya jana imetangaza kumwaga ajira 8000 na hii ni kutokana na uhaba mkubwa wa watumishi katika hospital za rufaa, kwa hiyo vijana jiandaeni tena kufanya maombi ili mlambe asali
naomba nione tangazo.wizara ya afya jana imetangaza kumwaga ajira 8000 na hii ni kutokana na uhaba mkubwa wa watumishi katika hospital za rufaa, kwa hiyo vijana jiandaeni tena kufanya maombi ili mlambe asali
Imetangaza wapi?wizara ya afya jana imetangaza kumwaga ajira 8000 na hii ni kutokana na uhaba mkubwa wa watumishi katika hospital za rufaa, kwa hiyo vijana jiandaeni tena kufanya maombi ili mlambe asali
Bora waje wapya huyu nurse wangu nishamchoka