Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,195
- 3,011
sio ujinga, kadhia kama hizi zipo nyingi na sababu ni umaskini wa kupindukia unaosababishwa na serikali dhalimu ya CCM..kwani ni mara ngapi tumesikia mzazi kamuua kwa kipigo mtoto wake kisa ameiba sh.mia?? haya ni matokeo ya kuchagua hawa satanists CCM ili watuongoze..Huyo ni adui ujinga