Maamuzi ya Juma ni ya kukurupuka, ya kitoto na hayana mashiko hata kidogo. Uume unatusaidia pia kwenye kutoa uchafu mwilini kupitia haja ndogo!
Sasa anapo amua kuukata, kwa kisingizio tu cha kutosimama baada ya kupata ajali!
anatarajia sasa kukojoa kwa kutumia nini? Kama ameshindwa kumtimizia huyo mke wake mahitaji muhimu ya ndoa, si angekubali tu matokeo kwa kuachana naye! Watoto tayari anao watatu! Shida iko wapi? Ulemavu wa kujitakia kabisa huu!