LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Wanajamvi kama kuna mtu yupo maeneo ya suka kabla haujafika suka kituoni kama unatokea ubungo kuna ajari mbaya imetokea.
Watu wengi sana wamejaa na inavyo onyesha ajari hiyo imemuhusisha dereva wa boda boda na inaonyesha kuna mtu kafariki kwani watu wamejaa mtaroni wana angalia na kuna utulivu kweli kweli. kwani barabarani hapo hakuna gari yoyote ile.
Kwa mwanajamvi yoyote atokeaye maeneo ya huko atujuze basi
Watu wengi sana wamejaa na inavyo onyesha ajari hiyo imemuhusisha dereva wa boda boda na inaonyesha kuna mtu kafariki kwani watu wamejaa mtaroni wana angalia na kuna utulivu kweli kweli. kwani barabarani hapo hakuna gari yoyote ile.
Kwa mwanajamvi yoyote atokeaye maeneo ya huko atujuze basi