Ni Tanzania tu ambapo bado watu wanaruhusiwa kuendesha magari wakiwa wamekunywa na kuendesha magari wakiwa wanaongea na simu. Wakati wengi wa madereva barabarani wamepata leseni kupitia kwa wajomba zao polisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.