Ajali yatokea chalinze

Ajali yatokea chalinze

Poleni sana

Mkuu habari mbona kama haijakamilika?
 
Binti wa miaka 9 amefariki baada ya bus la delux kupinduka likitaka kupita malori na kushindwa kumudu gari likalala mtaroni. Dereva amekimbia na kondakta wake. Bus linatokea iringa kwenda dar
 
Ni basi kampuni ya delux lenye safari zake mafinga-dar MTU mmoja ameripotiwa kufariki
 
Binti wa miaka 9 amefariki baada ya bus la delux kupinduka likitaka kupita malori na kushindwa kumudu gari likalala mtaroni. Dereva amekimbia na kondakta wake. Bus linatokea iringa kwenda dar
Aisee, asante kwa taarifa, pole kwa wote waliokutwa na hilo baa
 
Bus la delux lilitaka kupita malori na likakutana uso kwa uso na lori jingine ikabidi kupeleka bus pemben ndipo likalala kwenye mtaro. Kwa mujibu wa kaim kamanda wa pwani bint mmoja amefariki papo hapo na majeruhi wamepelekwa tumbi. Chanzo itv
 
Madereva wa aina hii kamwe wasiguse sukani maishani, leseni zao zifungiwe for ever
 
Bus la delux lilitaka kupita malori na likakutana uso kwa uso na lori jingine ikabidi kupeleka bus pemben ndipo likalala kwenye mtaro. Kwa mujibu wa kaim kamanda wa pwani bint mmoja amefariki papo hapo na majeruhi wamepelekwa tumbi. Chanzo itv

Madereva hawa sijui wanakuwa wamevuta bangi? Hawana huruma kwa abiria wasio na hatia!!!
 
Poleni sn majeruhi. Mungu amlaze mahala pema nafasi ilionja mauti. Mbona nchi maskini ndio uongoza kwa traffic accidents ?
 
Madereva wapumbavu kama hawa ndiyo wanaosababisha roho za watu kupotea kwa nini afanye overtaking mahali kama hapo? We must change our way of thinking badala ya kulalamika kila siku it's time for responsible authorities to open their eyes widely to see these morons driving carelessly, inaumiza kumpoteza ndugu tena kwa uzembe wa madereva wapumbavu kama huyu, may the soul of young lady rest in eternal peace
 
Madereva wapumbavu kama hawa ndiyo wanaosababisha roho za watu kupotea kwa nini afanye overtaking mahali kama hapo? We must change our way of thinking badala ya kulalamika kila siku it's time for responsible authorities to open their eyes widely to see these morons driving carelessly, inaumiza sana kumpoteza ndugu tena kwa uzembe wa madereva wapumbavu kama huyu, may the soul of young lady rest in eternal peace na wengi tutakufa kwa ajali za kizembe kama madereva wapumbavu hawatachukuliwa hatua kali
 
Back
Top Bottom