Tangu saa mbili usiku gari semi trailer kutoka Kongo lililokuwa limepaki baada ya kuishia mafuta, ghafla lilirudi nyuma bila dereva kisha likajikata kona na kuandika saba.
Hali hiyo imesababisha kukatika kwa mawasiliano kati ya njia Dar na Moro na gari zote zinazotumia barabara hiyo. Awali dereva hakuwa na mafuta, hata hivyo baada ya mafuta kupatikana, gari lilishindwa kuondoka. Hakuna usafiri kwa abiria wa barabara kwa nchi nzima ukizingatia nchi inaitegema zaidi barabara hiyo kwa usafiri wa ndani na nchi jirani.
Hakuna msaada japo saa sita hii ndo gari limekuja kujaribu kuondoa container ili libebwe kwenye gari hilo, hata hivyo bado haionyeshi kufanikiwa maana inaonekana mzigo ni mkubwa na inashindwa kuubeba.
Hali hiyo imesababisha kukatika kwa mawasiliano kati ya njia Dar na Moro na gari zote zinazotumia barabara hiyo. Awali dereva hakuwa na mafuta, hata hivyo baada ya mafuta kupatikana, gari lilishindwa kuondoka. Hakuna usafiri kwa abiria wa barabara kwa nchi nzima ukizingatia nchi inaitegema zaidi barabara hiyo kwa usafiri wa ndani na nchi jirani.
Hakuna msaada japo saa sita hii ndo gari limekuja kujaribu kuondoa container ili libebwe kwenye gari hilo, hata hivyo bado haionyeshi kufanikiwa maana inaonekana mzigo ni mkubwa na inashindwa kuubeba.