Simba wanavyopenda ulozi watakuwa wamewatoa kafara mashabiki wao...
Kumbe na wewe ni miongoni mwa wajinga nilikuwa nakuona wa maana kweli.unaleta umaviumav wakat wenzako wanalia
Nipe elimu basi ujinga unitoke...
Elimi ya kwanza toa mawazo ya kishirikina
Mkuu hujawahi kuona Simba wakifanya ulozi katika mechi zao?
Mwezi uliopita kama si ule mwingine alichinjwa mbuzi mzima mzima pale Jamhuri Moro...
Muda si mrefu wakarudia tena huko Shinyanga...hiyo ni mifano michache ambayo inajulikana
Ulishuhudia mkuu.na hujui approach on mob affecting psychology especially in such games.when shit hits the fan kauli hiz zinatoka sana
Ushirikina upo ktk soka,ishu ya kuamini au kutokuamini in jambo jingine, tuulize tuliokua tunacheza ndondo magomeni,suna,kinondoni,jangwani nk miaka 1995-2005,RIP simba fans.
Mungu zilaze roho za marehemu hao peponi.amina.
Simba wanavyopenda ulozi watakuwa wamewatoa kafara mashabiki wao...
kwani kuna watu wamefariki?ni wangapi kama wapo?Mungu zilaze roho za marehemu hao peponi.amina.