Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Ha ha haaa!
Preta bana!...kama unajua inavyoandikwa si umwelekeze aisee!
Mi nakumbuka tulitembelea kiwanja cha ndege tukiwa darasa la 6 mwaka 1966, na tukafundishwa kuwa inaitwa Cessna-206, 6-seater a/c.
nimefurahi kujua hilo......teh teh teh......nimefarijika kujua kwamba hakuna aliyekufa katika ajali hiyo.....