mashadoplantan
Member
- Apr 28, 2011
- 41
- 19
Tumepata taarifa kuwa Smz imekataa misaada ya Vodacom, na tunaambiwa ofisi za Vodacom znz ziko mashakani
Inaonekana kampeni ya kuisusia Voda imeshika moto, Mahmoud Thabit Kombo ndiye anayetumiwa na Vodacom kujaribu kuwaombea msamaha huko serikalini.
Vodacom wameahidi kutoa zaidi lakini taarifa zilizopo ni kuwa tayari bad publicity ishaspread na hata kama Vodacom wakiomba msamaha bado itakuwa ngumu kwa Serikali kujieleza kwa wananchi.
Wazanzibari waliopo UK (Zanzibar UK Trust na Friends of Zanzibar) wameamua kulalamika rasmi kwa ma trustees was Vodafone foundation UK.
Tutaendelea kuwahabarisha.
Inaonekana kampeni ya kuisusia Voda imeshika moto, Mahmoud Thabit Kombo ndiye anayetumiwa na Vodacom kujaribu kuwaombea msamaha huko serikalini.
Vodacom wameahidi kutoa zaidi lakini taarifa zilizopo ni kuwa tayari bad publicity ishaspread na hata kama Vodacom wakiomba msamaha bado itakuwa ngumu kwa Serikali kujieleza kwa wananchi.
Wazanzibari waliopo UK (Zanzibar UK Trust na Friends of Zanzibar) wameamua kulalamika rasmi kwa ma trustees was Vodafone foundation UK.
Tutaendelea kuwahabarisha.