Ajali ya kizembe Tabata

Ajali ya kizembe Tabata

Hivi mmemuelewa mtoa mada?
Naona hawajanielewa wamesoma na kukurupuka kujibu, ndio shida ya vijana wengi wa voda faster, kuhusu msaada nilishindwa kutoa kweli lakini kulikuwa na sababu maalumu za kufanya hivyo, huyo dereva sikumsababushia ajali mimi yeye alichomekea kizembe mbele ndio akukutana na semi na nimesema huo ni uzembe tu angekuwa makini hayo yote yasingemkuta. Ni vizuri kuelewa mada mapema kuliko kukurupuka kujibu tu
 
Ajali ni ajali tu.., huwezi jua labda alikuwa na msongo tu wa mawazo. By the way, it seems alikuudhi sana huyo jamaa alipokupita, na nahisi ili kumaliza hasira zako ukamkazia hadi sekunde ya mwisho alipokuwa hana pakupita ndio ikabidi akimbilie mtaroni. Na inaonekana roho yako imesuuzika kweli
Na hilo ndo lililotekea, mleta uzi mpuuzi flani tu amemsababishia ajali huyo jamaa/dada/mama whatever.
 
Kuna watu wanaendesha ovyo kweli kweli, juzi flani kuna mtu alinipita kiwenda wazimu wazimu kama kunatatizo ukiwasha taa na kupiga honi mstaarabu yoyote atakuachia njia au atakuonya sababu huoni mbele. mbona ambulance huwa tunazipisha. Mwenyezi Mungu amsaidie tu awemzima next time atajifunza kufata sheria za barabarani. Kuna watu hupenda kujifunza in a hard way
 
Na hilo ndo lililotekea, mleta uzi mpuuzi flani tu amemsababishia ajali huyo jamaa/dada/mama whatever.
narudia tena mmemuelewa mtoa mada? au mnakurupuka tu kujibu?
rudieni upya kusoma hiyo thread.
Vitu vidogo kama hivyo mnashindwa kupambanua,vingne mtaweza kweli??
 
Back
Top Bottom