Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Songea, Ruvuma
MTU mmoja ambaye hakufahamika jina lake aliyekuwa akiendesha baiskeli amegongwa na gari ndogo ya abiria aina ya Toyota Hiace na kufa papo hapo maeneo ya Mfaranyaki mjini Songea mkoani Ruvuma leo.