Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,615
- 40,162
Habari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, watu tisa wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kwa ajali wilayani Chemba, Dodoma.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, Gallus Hyera amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo iliyohusisha basi la abiria na lori la mizigo aina ya Fuso.
Miili ya marehemu imehifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya Chemba huku majeruhi wakiendelea kupatiwa matibabu.
Pia soma Familia yateketea kwa ajali Msata
Source: Mwananchi
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, Gallus Hyera amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo iliyohusisha basi la abiria na lori la mizigo aina ya Fuso.
Miili ya marehemu imehifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya Chemba huku majeruhi wakiendelea kupatiwa matibabu.
Pia soma Familia yateketea kwa ajali Msata
Source: Mwananchi