Ajali ya basi la wanunzi Arusha

Fundi wa fundi

Senior Member
Apr 18, 2017
108
47
Wadau naombeni tushirikiane kujadili tatizo hili ambalo serikali unaelekea kuizika pasipokujua kwanini tatizo limetokea
 
Hamasisha wadau sababu basi lile linasadikiwa kuwa coaster ya Moshi Arusha ambalo hata dereva alichukuliwa tu asubuhi yaani wanasemaje wanadai ni shunter
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom